Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 08, 2010

    Globalpublishertz mmeharibu raha zetu wasomaji wa magazeti yenu ughaibuni.

    Maana zamani kabla hamjabadilisha webusaiti yenu, ilikuwa rahisi sana kuingia na kusoma magazeti yenu.

    Sasa kwa mfumo mpya ya dot-ning na saini-ini imekuwa taaaaabu, maana habari za Udaku mtakuwa 'serious' kihivyo kwa kututaka kufuata hatua lukuki kabla ya kusoma, rudisheni mfumo wa zamani ambao ulikuwa 'customer-friendly' kwa wapenda habari za udaku.

    Si mnaona hapa ktk globu ya jamii mambo 'customer-friendly' kwa saaana na wasomaji ya globu ya jamii hatuhitaji kashkash kama tupo ktk chumba cha mtihani wa teknohama.

    Mdau
    Honolulu, Visiwani Pasifiki.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2010

    Kama biashara ya magazeti haiaribiwi mnaweka p/word ya nii kwenye blog yenu, mbona michuzi haweki? kwa ushauri wangu naomba mfunge blog mbaki na udaku wenu huko bongo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...