Globu ya Jamii inampongeza Mzee wa Nondozzzz Ernest Makulilo kwa kumeremeta na mai waifu wake Marie Mowery May 1st, 2010 katika kanisa la Kumbukukumbu ya Mtakatifu Yosefu Mfanyakazi huko San Diego, California, Marekani - Kanisa Katoliki la Immakulata
Bwana na Bibi Harusi baada ya kumeremeta
Ni furaha ilioje kumeremeta
Maharusi na mapadre waliowameremetesha
Mnuso wa nguvu
Libeneke oye!
Mambo mengine ya makulilo
bofya katika linki hizo chini:
http://www.facebook.com/album.php?aid=431040&id=623205200&l=2688b56a6b

www.makulilo.blogspot.com
www.scholarshipnetwork.ning.com









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 51 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 08, 2010

    Hongera Ernest kwa harusi nzuri kabisa. Harusi za kanisani zinapendeza!!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2010

    mambo ya makaratasi hayo!!Ongera baba Age doesn't matter watu twataka kubaki marekani!!lol

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 08, 2010

    VIPI HUYU MZEE MAKARATASI YAKE YAMEKAAJE? NIMEULIZA KWA NIA NJEMA TUU KUNA KAUTAFITI KASIKO RASMI NAKAFANYA

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 08, 2010

    Hongereni sana. Mmependeza. Mungu awabariki.

    ReplyDelete
  5. Hili ni Karatasi au ya Kiukweliiiiiiiiii .Ikiwa ni katarasi utakwenda moto mmbaya wewe(unacheza na mungu kanisani)!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 08, 2010

    Hivii ni harusi kweli au maigizo?
    mbona sioni wapambe hata hao anaowapungia mkono hawaonekani mmmhhhhh anyway tuwaachie wenyewe.
    Ila hongera mzee kwa kuopoa kitu WHITE najua siku ukishuka nae KG watakukoma.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 08, 2010

    mnaowaponda wadada wanakimbilia vizee vya kizungu kujikimu kimaisha..ongeeni sasa

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 08, 2010

    Hali gani kaka Michuzi...Naomba utuwekee e-mail address yako hapa.Natanguliza shukrani.

    Mdau Roma.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 08, 2010

    Kuna ma-chubbies wana bahati humu duniani. Nahisi Bi. Mkubwa hakuamini macho yake. Hongereni sana sana. Nawatakieni maisha mema ya ndoa yenye furaha. Cha msingi ni Upendo na si kusikiliza maneno ya watu.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 08, 2010

    hongereni sana !! bwana harusi hakupitia kwa kinyozi jamani loooooo

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 08, 2010

    wamependeza maharusi hongera karibuni katika maisha ya ndoa.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 08, 2010

    Hongereni sana jamani!!! mmependeza sana na pia picha ni nzuri saaaaaaaaana!! mpicha piga wenu ni mzuri!!!(mpiga picha)

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 08, 2010

    Wamependeza kweli kweli.. Hongereni sana!!

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 08, 2010

    hongera sana kwa kumeremeta mmependeza sana mtunze mkeo kama mboni ya jicho lako, amen

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 08, 2010

    hongera sana kaka makulilo hii iko powa sana..,

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 08, 2010

    karatasi???! O.O

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 08, 2010

    jamaa angepiga hata hair cut ya kiaina basi, si unajua mambo ya kung'arisha.

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 08, 2010

    Wazee wa mwanamke walifanya mgomo na kuingia mitini?

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 08, 2010

    Wazee wa mwanamke walifanya mgomo na kuingia mitini?

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 08, 2010

    MAKARATASI AU???

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 08, 2010

    JAMANI HII ILIKUWA HARUSI YA KUTAFUTA MAKARATASI?VIBALI VYA KUISHI?MBONA HAKUNA WATU WAKO WATU WANNE TU?

    ReplyDelete
  22. Hongera mzee wa nondozzzzzzzzzzz

    Karibu katika Club.

    Kila la kheri na mafanikio.

    Mdau MJ

    USA

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 08, 2010

    Hongera mdau Makulilo,at least ww umeoa mtoto bomba wa kitasha kuliko wengine huwa wanaoa "rejects" za wazungu,i mean pipa la kitasha.
    hongera sana mumependeza,Infwact ur wife ni very attractive sana.

    ReplyDelete
  24. AnonymousMay 08, 2010

    Pongezi kwako Ernest na Marie kwa kuamua jambo lilo sahihi ktk maisha, Mungu awajaze furaha ktk maisha yenu.

    ReplyDelete
  25. AnonymousMay 08, 2010

    1. Makaratasi.

    2. Age ain't nothing but a number.

    3. Bwana harusi mpaka inabidi atafute hair styles zinazomfanya aonekane mkubwa. Hii ni pamoja na kutonyoa ndevu.

    4. Maisha Mema ya ndoa. Alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe.

    5. Hakukuwa na wageni waalikwa? Mbona kama ilikuwa kimya kimya?

    ReplyDelete
  26. AnonymousMay 08, 2010

    Is this for really, or for papers..??. It doesnt look like the one for really, teheee teheeee.
    Good luck.

    ReplyDelete
  27. Hongera! Mungu awabariki! Zaeni matunda mema! Ona nyuso zenu za furaha!

    ReplyDelete
  28. AnonymousMay 08, 2010

    kaka jiandae makaratasi hayoooooo yanakusubiri!! wewe tu!!! ushakuwa mmarekani wewe. bora kaka umeona njia ya maisha, bongonyoso hapa noma hakukaliki maralia, vumbi, maji ya shida, umeme wa shida mgao, baa za pombe kila kona,maji hayana viwango, bidhaa zisizofaa kwa binadamu kutoka south afrika na china hapa ndo dampo lake, rushwa kila kona, wizi, ujambazi, ukikaa baa unajiuliza jamaa wanaokuja na bastola kukusanya pesa na simu zenu watafika mda gani, michango ya harusi, kipaimara, birthday ndio fasheni inamaliza hela zote za mshahara, usafiri balaa kimara posta masaa matatu, joto kwenye daradara, viongozi longolongo na vitisho kibao, yani basi taabu kwelikweli. na mimi nafikiria kutia timu states nikifika huko lazima nitafute mmama nimpe za kibongobongo hadi aniambie twende kanisani unioe sikuachi. t'will take time to get those papers but eventually i'm gonna clinch'em.
    hongera sana man, hope ya'll still flooding those scholarship opportunites to us!!

    ReplyDelete
  29. AnonymousMay 08, 2010

    eeeeeeeh mambo ya ma paper hayo mwana wane...lol,hongera kaka

    ReplyDelete
  30. AnonymousMay 08, 2010

    kumbe huyu jamaa alikua hajaoa

    ReplyDelete
  31. AnonymousMay 08, 2010

    Hongera Sana Makulilo, mlete mama nyumbani, mpeleke kijiji akachote maji kidogo na kutwanga kwa kinu, ili mwili wake upate Aficanization, vinginevyo maisha yawe huko huko, maana kwa uzoefu, bila Africanization, it doesn't work back home.

    Hongera Sana.

    Mdau Pascal.

    ReplyDelete
  32. AnonymousMay 08, 2010

    Mhhhhh, nasikia harufu ya kutafuta makaratasi hapa.

    ReplyDelete
  33. AnonymousMay 08, 2010

    Hongera sana mdau Jr. Mungu awape furaha ya maisha. Endeleza libeneke kama kawa....mambo ya Nondozi usichoke, japo kuna ubize wa familia

    USA

    ReplyDelete
  34. AnonymousMay 09, 2010

    Picha nzuri kweli za kupeleka uhamiaji. Haya makaratasi yatatuua si mwaka jana tu mwishoni ndio umeingia San diego. Lini umedate na kupata mchumba ndugu yangu? Duh hii kali....master inakaribia kuisha nini?

    ReplyDelete
  35. AnonymousMay 09, 2010

    Hongera sana ..
    hiyo picha ya pili bibi harusi alibidi ashangae huyu anampungia nani mkono?

    Halafu anakua kama vile mbona mwenzangu anafuraha hivyo kupita kiasi?

    Naona unasema bongo bye bye

    ReplyDelete
  36. AnonymousMay 09, 2010

    Potluck wedding great kwa makaratasi

    Hongera

    ReplyDelete
  37. AnonymousMay 09, 2010

    Makaratasi haya jamani harusi gani haina hata watu wapo wenyewe tu.Na mie natafuta babu la kizungu nipate hayo makaratasi lol.

    ReplyDelete
  38. AnonymousMay 09, 2010

    Hongera mzee mzima. Wengine hatuna bahati na watoto wa kibongo nadhani sababu zilikuwa ni hatuna pesa au mvuto kama wanaoutaka wao. Ni bora walale na makonda na wakija nje wapopo kuliko sisi.
    Nasisi inatulazimu kuatafuta love somewhere else, Hongera na tunakutakia maisha mema yenye furaha na mke atakeyekupenda na kukuheshimu

    ReplyDelete
  39. AnonymousMay 09, 2010

    HIVI NYIE MUMEMUONA HUYO DADA NI KIZEE, NI MSICHANA MDOGO NA NI MDOGO KWA UMRI KWA MAKULLILO JUST FOR YOUR INFORMATION.

    ReplyDelete
  40. AnonymousMay 09, 2010

    Msaada kwenye Tuta:

    'Wapopo' ndio maana yake nini? Na 'Makonda' kama ilivyotumika hapo juu na mchangia mada inamaanisha nini?

    ReplyDelete
  41. AnonymousMay 09, 2010

    Tarehe Sat May 08, 08:12:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous


    kaka hapo juu umesema kweli kweli kabisa.Hata mimi nikipata kizee nafunga macho tu mzee!! Bongo jehanamu kaka asikuambie mtu tena kama ujasoma ndo unaweza kudata ndungu zako tu wanakukimbia!! bongo kwlei mwisho wa matatizo.Eh mungu niepushe hili balaa Nimpate hata mchina poa tu!! bongo kila kitu kibaya, nyumba mbaya ,chakula kibaya, usafiri mbaya,maji mabaya,shule mbaya , hositali mbaya,hali ya hewa mbaya, bara bara mbaya,yani kila kitu kibaya!!1

    ReplyDelete
  42. AnonymousMay 09, 2010

    kaka harusi nzuri hila nazani hina mashaka kwa nini family za pande zote mbili hazikuwepo???? its not normal lazima kuna kitu nimeona picha zako kwenye facebook nzuri lakini still akuna ndugu!! ni ma classmates wako tu na ma lecture tuseme wewe una hata kaka ama dada !!duh kweli kuna kitu

    ReplyDelete
  43. AnonymousMay 09, 2010

    Msimseme. Huyo mama kamzimia akiwa na hizo nywele na ndevu. Anamuona 'gorgeous' na hiyo look. Akikata ataharibu deal. Mama anawezabadili mawazo. Shikilia hapo hapo bro. Nywele na ndevu saizi hiyohiyo. Ndio ulevi wa mama huo. Usifuate ya watu watakuchanganya..

    ReplyDelete
  44. AnonymousMay 10, 2010

    kumbe ulikua hujaoa?woooow

    ReplyDelete
  45. AnonymousMay 10, 2010

    DUH..MDAU MAKULILO NAONA UMEFANYA KWELI,NAONA SASA UNA UHAKIKA NA MAKARATASI KAMA TULIVYOJIPANGA WAKATI UNAONDOKA BONGO...MIMI NAKUJA HUKO JUNE..KAMA VIPI NIUNGANISHIE NGOMA YEYOTE HATA KAMA AJUZA ILI MRADI NIHAME KABISA HUKU USHENZINI..HARUSI KAMA YAKO YA WATU WATANO FRESH TU....NAKUJA KAKA

    MIXER

    ReplyDelete
  46. AnonymousMay 10, 2010

    mimi hapa naangaika kila siku nipate mchumba huko ili niondokane na hizi rabsha za hapa bongo, mwaya hongera bwana ernest.

    ReplyDelete
  47. AnonymousMay 10, 2010

    Kuna mdau ameuliza maana ya Makonda na Wapopo.. ngoja nijaribu kukusaidia ninavyoelewa mimi.. 'Wapopo' ni Watu wa Afrika Magharibi sanasana Wanaijeria, Na 'Makonda' ni Kondakta wa mabasi sanasana daladala za bongo...

    ReplyDelete
  48. AnonymousJune 08, 2010

    Hivi jamani wa bongo tunatakiana heri au ni unafki tuu na maneno ya siyo na maana ndio tunajua.. kama anatafuta makaratasi ni kwa ajili ya maisha yake kama kampenda kweli ni kwa maisha yake pia kama ni shida zilizopo bongo zinatokana na ujinga wetu kama wengi wetu walivyotoa maoni ya kijinga yasiyo na mweleko nani anataka kwenda kuoa wanawake ambao macho yako juu kila kizuri anakitamani uaminifu hakuna kazi kuiga tu bila kujua kesho hongera kaka umempata mwenza wako mpende kama akupendavyo muwe na maisha mema..waache wapige kelele hao ndio wachawi wa mafanikio yako...

    ReplyDelete
  49. AnonymousJune 08, 2010

    mkataa kwao ni mtumwa hao wanaoiponda bongo wakati ndio chimbuko lao washamba na wajinga wa kutupwa mtu kwanini usijiproud na kwenu? ndo ninyi mambo yakiwanyookea mnawakataa mpaka wazazi wenu hovyoooooo !!!!!!oneni aibu makulilo kaja na mkewe hapa bongo na kaenda nae mpaka kwao kijijni na mtoto wa watu anayafurahia tu maisha mmekalia kupaponda kwenu mlikozaliwa ! badala ya kujadili mfanyeje na nyie watu wapatamani kwenu. HONGERA SAAAANAAAA KAKA MAKULILO MUNGU AKUTANGULIE KATIKA HILO .

    ReplyDelete
  50. Hongera sana kaka..everytime I look at you I see myself in few yearz to come..hongera kwa shemeji yetu pia!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...