Home
Unlabelled
FOLENI YA KUSUBIRI VYETI VYA KUZALIWA MORO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wote wanaonekana ni vijana wadogo tu ambapo nyakati walizozaliwa mambo ya vyeti yalikuwa yameshaanza tayari.
ReplyDeleteDili za kugushi umri ndo huanzia hapa kama scandal ya Bw.Masauni wa UVCCM.
kuwe na utaratibu basi wa kuwatumia watu vitu kama hivyo kwenye masunduku yao ya posta kulingana muda ambao mtu amepewa badala ya kutengeneza foleni zisizokuwa za msingi. Hii itaboresha ufanisi na utendaji kazi kwa pande zote.
ReplyDelete