SITASAHAU MV BUKOBA nikitabu kinachoelezea hali halisi ilivyokuwa ndani ya meli ya MV BUKOBA kabla na baada ya ajali. Nyaisa Simango ni miongoni mwa abiria walionusurika katika ajali hiyo, Ameandika hiki Kitabu kuelezea hali halisi ilivyokuwa tangu mwanzo wa safari yake hadi meli hiyo ilipopinduka na kuzama.


SASA KIPO MADUKANI.VITABU HIVYO VINAPATIKANA MADUKA YAFUATAYO;


1. Novel Idea- City Centre na Slip way


2. Soma Book Cafe- Regent Estate

3. Mwenge Best book shop - Mwenge

4. Scholarstica book shop -- Mlimani city

5. Salamander book shop --- City centre

6. General book Seller -- City Centre

7. Dar es salaam Printers -- City centre

8. DUP -- University of Dar es salaam

Arusha

Kase store

Moshi

Mwenge best book shop

Tarime/ Musoma

Gimunta Champion Traders Ltd

Iringa

Tanzania Literature Centre

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 19, 2010

    http://www.karugendo.com/2010/03/sitasahau-mv-bukoba.html


    inaelezea vizuri hapo juu link hiyo. Mwenyezimungu awaweke sehemu pema peponi amin.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 19, 2010

    Titanic

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...