MTANANGE KATI YA TIMU YA SIMBA NA HARASS EL HODOOD UNAENDELEA HIVI SASA HUKO UARABUNI NA SASA HIVI NI DAKIKA YA 25 KIPINDI CHA PILI HUKU TIMU YA SIMBA IKIWA NYUMA KWA MABAO 4-1 DHIDI YA HARASS EL HODOOD NA KUFANYA YASOMEKE HIVYO MPAKA SASA.TUTAENDELEA KUJUZANA ZAIDI MATOKEO YA MECHI HIYO INAYOENDELEA KUCHEZWA HIVI SASA.
Home
Unlabelled
mechi ya simba na harass el hodood
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Simba is down 5-1,
ReplyDeleteSafi sana... safi.
ReplyDeleteIlifungwa Taifa Stars bao kama hizo watu wakasema Maximo sasa watasema sijui Phili hafai???