Home
Unlabelled
PATA MKUTANO WA UCHUMI LAIVU TOKA MLIMANI CITY DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
I am trying to check hii link uliyotoa naona chenga tu, intaneti zetu sijui toka simba net, siikom ,zaniteli ni kimeeeeo tu labda walio Ughaibuni au Rwanda ndo itakuwa mswano..
ReplyDeleteNgoja tusubiri kuona kwenye kininga baadae kwetu Mburahati kwa mfuga mbwa.
Ni mimi Maliaga.
Wabongo hatufaidiki kwa lolote na mkutano huu!! mbongo halisi ataambulia kukaa kwenye daladala masaa kibao kwa ajili ya foleni kwa wiki nzima (3-7 may) na kuamka mapema kwa kudhani labda atawahi foleni na kufika home saa nne usiku hoi !! Watakaofaidika ni Mlimani city na wenye magari ya kukodisha, mahoteli makubwa ya wazungu ambao mwisho wa siku hawatalipa kodi na viondozi wengine kwa kugawana posho na 10% kutoka kwa suppliers mbali mbali!!
ReplyDeletekwa kweli mr president angejiandaa vyema kujibu hayo maswali ipasavyo manake mh!
ReplyDeleteBraza Michu
ReplyDeleteHivi nyie hamruhusiwei pale? mbona hatuoni pich aza pale tukioni ?
Yaani inapatikana swaafi, niko Norway ninaiona bila chenga. Shukrani ankal kwa kutupa link.
ReplyDeleteThe Kalija