Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Ephraim Mafuru akiwapongeza Makamu mwenyekiti wa Simba sc Omari Gumbo (kuume) na Katibu mkuu wake Mwina Kaduguda baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi wa shilingi milioni 38 ikiwa kama zawadi ya Vodacom kwa mshindi wa kwanza wa Ligi Kuu ya Bara. Hafla imefanyika sasa hivi hoteli ya New Africa jijini Dar
Naibu waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Mh. Joel Bendera, akimkabidhi Makamu Mwenyekiti wa Simba SC Omar Gumbo zawadi ya Ubingwa wa Ligi kuu ya Vodacom
Omar Gumbo akipokea zwadi ya kiatu cha dhahabu kwa niaba ya mfungaji bora wa ligi kuu, Mussa Hassan Mgosi wa Simba ambaye kapata pia shilingi milioni mbili
Omar Gumbo akiwa na zawadi ya Kipa Bora aliyopewa
Juma Kaseja pamoja na kitita cha shilingi milioni mbili









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 07, 2010

    Lukia unapendeza sana siku hizi. Naona wewe ukiongeza weiti unakuwa mzuri sana. lakini usizidi hapo. Zamani nilifikiri we mzee ,kumbe binti wa form six. Washauri wenzio wasijifanye vimbao. Nilikutana na shy rose bhanji naye si uwongo utampenda. zamani naye alifiriwa uzee kumbe duh.....Lukia kweli wewe mzuri saaaaaaaaana. maintain huo msosi usizidishe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...