Katibu Mkuu wa TFF Frederick Mwakalebela akitangaza washindi wa zawadi za ligi kuu ya vodacom zilizotolewa sasa hivi na kampuni hiyo ya simu za mkononi katika hoteli ya New Africa jijini Dar. Wengine toka shoto ni Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Ephraim Mafuru, Naibu Waziri wa Habari Michezo na Utamaduni, Mh. Joel Bendera, Meneja wa Matukio wa Vodacom Rukia Mtingwa na George Rwehumbiza
Refarii bora Oden Mbaga akipokea zawadi yake na kitita cha shilingi milioni mbili unusu
Refarii bora Oden Mbaga akipokea zawadi yake na kitita cha shilingi milioni mbili unusu
ikipokelewa kwa niaba na Abdi Kassim
Hongera sana vodacom kwa kutoa zawadi bila upendeleo. ni haki kwa kila timu kupata walichokipata. na kwa mchezaji bora mmetenda haki kabisa. ila mwakani ongezeni zawadi
ReplyDelete