SITASAHAU MV BUKOBA nikitabu kinachoelezea hali halisi ilivyokuwa ndani ya meli ya MV kabla na baada ya ajali. Nyaisa Simango ni miongoni mwa abiria walionusurika katika ajali hiyo, Ameandika hiki Kitabu kuelezea hali halisi ilivyokuwa tangu mwanzo wa safari yake hadi meli hiyo ilipopinduka na kuzama. SASA KIPO MADUKANI.

VITABU HIVYO VINAPATIKANA MADUKA YAFUATAYO;
1. Novel Idea- City Centre na Slip way
2. Soma Book Cafe- Regent Estate
3. Mwenge Best book shop - Mwenge
4. Scholarstica book shop -- Mlimani city
5. Salamander book shop --- City centre
6. General book Seller -- City Centre
7. Dar es salaam Printers -- City centre
8. DUP -- University of Dar es salaam

Arusha
Kase store

Moshi
Mwenge best book shop

Tarime/ Musoma
Gimunta Champion Traders Ltd

Iringa
Tanzania Literature Centre

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2010

    Pole sana ndugu yangu. Kwa kifupi ajali hiyo ilitokana na ugumu wa mioyo ya watanzania. Na kutojali maisha yao. Wa TZ hujali mali kuliko binadamu. Ile meli isingezama kama usimamizi ungekuwepo hasa kwa upande wa upakiaji mizigo na abiria, matengenezo sahihi ya meli hiyo na uelewa wa kutosha wa wanaohusika.Laiti kama kungekuwapo mtu mwenye uelewa wa kutosha katika sakata zima la uokoaji, ile meli isingetobolewa. Inasikitisha, hata sasa bado uelewa wa uokoaji ktk kila janga haujakaa pahala pake. Mola awalaze pema waliopoteza maisha

    ReplyDelete
  2. ajabu kitabu hiki hakionekani kupatikana Bukoba wala mwanza kwenye eneo la tukio. sijui nini hii kwamba wahusika wakuu (wakazi wa mwz na bkb) hawahitaji kitabu hiki??

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 20, 2010

    Kiwekeni kitabu Amazon.com
    Mdau Overseas

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 20, 2010

    NDUGU YANGU,UPO SAHIHI SANA NAJUA AJALI HII WAHUSIKA WAKUU NI NDUGU ZANGU NA WATANI ZANGU WA KAGERA.MZIGO UPO NJIANI KAMA UJUAVYO HAYA MAMBO YANAHITAJI MIKATABA PIA,KAMA KUNA MTU AMBAE UNADHANI ANALO DUKA NA ANAWEZA AKAWA AJENTI WETU AWASILIANE NA PUBLISHER WANGU E&D PUBLISHERS DSM-MWANDISHI

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 20, 2010

    kama mdau hapo juu

    MWANZA NA BUKOBA JE??
    kwani maktaba ya taifa haiwezekani,au bookshops kibao ziko??

    poleni sana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...