Juu na chini wanaonekana Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kyela, Martha Mgeta, akitakata utepe wakati wa uzinduzi wa madarasa mawili ya shule ya Sekondari Ipinda iliyoko Wilayani Kyela Mkoani Mbeya, aliyepembeni yake ni Mkurugenzi wa Vodacom, Kanda ya Kusini, Jackson Kiswaga na mwenye suti ya kijivu ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Agetile Mwakalinga, Mfuko wa Vodacom umejenga madarasa hayo kwa shilingi milioni 19.5

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 01, 2010

    job well done vodacom. keep the spirit up! other business companies should emulate vodacom.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...