
Juu na chini wanaonekana Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kyela, Martha Mgeta, akitakata utepe wakati wa uzinduzi wa madarasa mawili ya shule ya Sekondari Ipinda iliyoko Wilayani Kyela Mkoani Mbeya, aliyepembeni yake ni Mkurugenzi wa Vodacom, Kanda ya Kusini, Jackson Kiswaga na mwenye suti ya kijivu ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Agetile Mwakalinga, Mfuko wa Vodacom umejenga madarasa hayo kwa shilingi milioni 19.5

job well done vodacom. keep the spirit up! other business companies should emulate vodacom.
ReplyDelete