Mrisho Mpoto akighani wimbo wake maarufu wa 'Mjomba' wakati wa uzinduzi huo. Kwa video hii na nyingine kibao BOFYA HAPA
mwakilishi wa balozi wa Umoja wa Ulaya nchini akizindua maonesho hayo. Karibu na kamera ni Henry Lyimo, afisa habari wa EU ambaye alikuwa anatafsiri 'yai' hilo katia mojawapo ya shughuli za Wiki ya Umoja wa Ulaya nchini
baadhi ya wasanii vijana waliochangia sanaa kwenye maonesho hayo
mwanzilishi wa nyumba ya sanaa na kituo cha kulelea yatima cha dogo dogo centre
sista jean pruitt akijumuika kwenye uzinduzi wa maonesho hayo
baadhi ya wasanii vijana waliochangia sanaa kwenye maonesho hayo
mwanzilishi wa nyumba ya sanaa na kituo cha kulelea yatima cha dogo dogo centre
sista jean pruitt akijumuika kwenye uzinduzi wa maonesho hayo
Mkurugenzi wa Alliance Francaise Bw. Didier Martin akikaribisha wananchi kwenye uzinduzi wa sanaa ya mural iliyoandaliwa mahususi kuadhimisha wiki ya Umoja wa Ulaya katika upenu wa jengo la IPS jijini Dar jioni hii. Maonesho hayo ya michoro yatadumu katika wiki yote hiyo
Msanii mrisho mpoto akighani kwenye uzinduzi wa maonesho hayo
Msanii mrisho mpoto akighani kwenye uzinduzi wa maonesho hayo
Henry Lyimo atakua anatema "yai" sana! Hiyo slang ya kiswahili imenikumbusha mbali sana, nimecheka sana
ReplyDeleteSANTE SANA SISTE JEAN PRUETT. SOTE TUNAKUPENDA. NYC
ReplyDeleteHivi hao wa Ulaya nao wanasherehekea Siku ya Afrika?
ReplyDeleteHIVI RASTA NI UTAMADUNI WA KITANZANIA? ASILI YAKE NINI NA WAPI? MBONA WANASANAA NA UTAMADUNI WENGI WANAPENDA KUFUGA RASTA E.G MRISHO MPOTO, MGUNGA MWAMNYENYELWA, HUYO JAMAA PICHA YA CHINI KABISA NIMESAHAU JINA LAKE, NA WENGINE AMBAO NAJUA SIO KAMA WASANII WA BONGO FLAVOUR AMBAO NAJUA WANAIGA VITU WASIVYOVIJUA, ILA HAWA NILOWATAJA NAJUA NI WALIMU NA WANAFUNZI WA SANAA PALE CHUO KIKUU, NI WANATAALUMA RASMI WA SANAA NA UTAMADUNI.
ReplyDelete