MAMBO VP ANKAL!!!!

NAONA HAPA MPAKA SIKU IJE KUTOKEA AJALI AU MAAFA NDIO MAMLAKA ZITACHUKUA HATUA SAHIHI...
HATA GARI LA WASIMAMIA SHERIA NALO LINAVUNjA SHERIA!!!
KWELI BONGO TAMBARARE.

MDAU PPF TOWER....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 27, 2010

    jamanieeeeh mnaosema tanzania nchi masikini je mmeliona gari la polisi hilo hapo juu ? milioni 300 kama sijakosea bado kulitunza hilo , hata sijui kama uingereza polisi wao wana magari kama hayo , nisaidieni mlowahi kuenda au kuishi UK je polisi wa huko wanalo gari kama hilo ??
    maji bombani hayatoki leo mwaka 2 sasa...gari ndo hilooooo

    BONGO TAMBARALE

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 27, 2010

    yani ndugu mdau uliesema watunga sheria wanavunja sheria yani nagari ya serikali kuanzia pt mpaka mastk dfp wote ni wavunjaji wazuri sana wa sheria hawafwati foleni kabisa na sijui wanakuwa na haraka gani kwasababu mafuta ni bure kwanini wanavunja sheria,badala sisi tunaonunua wese ndio tufanye hivyo wao ndio wanafanya,sehemu zilizoandikwa no parking wao ndio wanapaki yani huwa wao wapo kinyume kabisa na sheria ambazo wao ndio wanazitunga.hao madereva wa dfp huwa ndio sitakagi hata kuongozana nao yani wao wakikaa barabarani wanadhani barabara yote wanaimiliki wao wanaendesha speed za ajabu sijui nivile wanajua hata gari ikipata ajali itatengenezwa tu yani kwa kifupi hawajatulia kabisa barabarani madereva wa (DFP)hizo spidi zao,utafikiri ambulance inawahisha mgonjwa.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 27, 2010

    You must be kidding me ! That black SUV is not a government's vehicle. Our government is so poor and can't afford those kinds of vehicles.........oooops, I am dreaming.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 27, 2010

    Mwende kujiandikisha kupiga kura...lakini nchi yetu ni kama imelaaniwa watu tunaowaona wazuri wakiingia tu kwenye uongozi sijui mahela ni mengi hivyo hawajui la kufanya basi wanabadilika na kuwa mafisani in no time...

    Wanabidi tuwatoe wote na kuingiza wapya ndio tutawea la sivyo ni taabu sana

    Gari kama hiyo mjini Dar? Kubwa la bure, gas nyingi ya bure na wala kama ni kukimbiza mtu haliwezi kukatizamitaa kwa haraka...Vile vigolf viliendaga wapi

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 27, 2010

    Juzi nilipita uchochoro wa Ostabei polisi nikaona mabanda wanayoishi ndugu zetu yaani nilisikitika sana. Yaani zile kota zione kwa nje tu, ndani ni mabanda ya mabati tu wanaishi vijana wetu na familia zao. Lile eneo la Obay polisi ni kubwa sana, likateni nusu mpeni mwekezaji kwa miaka 15-25 ajenge anachotaka na awape $2m muwajengee vijana makazi mazuri.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 28, 2010

    Mmeliona hilo moja tu?yako kibao MAPT na MASTK na mengine kibao huwa yana namba za kwawaida ila ni ya Govment.Hapo ndio Tutajiju.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 28, 2010

    Hilo Land Cruiser GX mbona ni chamtoto? Serikali yetu tukufu ina ma-VX ya kumwaga. These are the most expensive Toyotas that money can buy. Ukiangalia jinsi maafisa wa serikali wanavyotamba na magari ya bei chafu kabisa ni vigumu kuamini kwamba Tanzania ni nchi masikini ambayo zaidi ya asilimia 30 ya bajeti yake inategemea huruma za wahisani.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 28, 2010

    jamani mada hapa ni kupaki gari katika sehemu zisizoruhusiwa mbona mada imebadilika na kuwa gari la thamani za serikali , mada sio hiyo , sawa wajameni ????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...