Vodacom Miss Mwanza Chibo Deogratius (kati) akiwa amepozi na mshindi wa pili Anastazia Deogratius (kulia) na mshindi wa tatu Irene Mbwambo. Shindano hili la Vodacom Miss Mwanza lilifayika wikiendi hii katika Klabu ya Yatch Jijini Mwanza
Washiriki wa Vodacom Miss Mwanza wakifungua pazia

Mshindi wa Vodacom Miss Mwanza
Chibo Deogratius katika vazi la ufukweni



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2010

    Hwa kweli wana quality za umiss warefu na shepu zao ziko kiju juu sio wale wengine tunaona wafupi, cellulite kibao...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...