(picha na Amour Nassor /VPO)
(picha na Amour Nassor /VPO)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nyumba ya Muheshimiwa makamu wa Rais kwa kweli ni nzuri sana, ila nadhani wale watu wanaojihusisha na utengenezaji wa muonekano wa nyumba kwa ndani (interior designers na decorators) wangeweza kujitahidi zaidi, kwani huyo nyumba iko typical of ki-commoner zaidi kuliko ya kiheshimiwa, tena Muheshimiwa mkubwa kama Makamu wa Rais.
ReplyDeleteTunatumai watu wa 'landscaping' walijitahidi kwa huko nje kuhusiana na masuala ya muonekano wa nje, yaani garden, pavements na nini.
Hata kama sina nyumba kama hiyo bado sizuiliwi kutoa maoni ama mtazamo wangu.
... Masuala ya kubenjua miwani watu waongeapo na 'wakubwa' kumbe bado hayajaisha?