Rais wa Kenya Mwai Kibaki akipita mbele ya wananchi wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya sikukuu ya madaraka ziliyofanyika jana katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.
Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya sikukuu ya madaraka ziliyofanyika jana katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.
kikundi cha ngoma za asili kikitumbuiza.
Askari Polisi wa kikosi cha mbwa wakitoa salamu za heshima kwa Rais wa Kenya Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wakicheza gwaride la sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya sikukuu ya madaraka ziliyofanyika jana katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.
Askari wa kike kutoka Jeshi la Kenya wakitoa salamu za heshima kwa Rais Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wakicheza gwaride la sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya sikukuu ya madaraka ziliyofanyika jana katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.
Askari wa Jeshi la Kujenga Vijana (National Youth Services) wakitoa salamu za heshima kwa Rais Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wakicheza gwaride la sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya sikukuu ya madaraka ziliyofanyika jana katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.
Askari wa Bendi ya Jeshi la Kenya wakitoa salamu za heshima kwa Rais Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 47 ya sikukuu ya madaraka ziliyofanyika jana katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.
(Picha na Anna Nkinda.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 02, 2010

    MSAADA TUTANI

    Can anybody find and identify Mr Kamau in these pictures?
    Giggle, giggle giggle, he seems very capable of rubbing Tanzanians the wrong way.

    ReplyDelete
  2. VERY CLASSIC WITH LAND ROVER 109.....INGEKUWA TANZANIA HAPO UNGEONA KUNA BMW-X5, NA MERCEDES BENZ S600 - HALAFU MKIAMBIWA KUWA MNAPENDA MAKUBWA MNAKUWA WAKALI KAMA SIMBA...BONGO BWANA....

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 02, 2010

    I DONT THINK THAT "NATIONAL YOUTH SERVICES" MEAN ASKARI WA JESHI LA KUJENGA VIJANA,THATS A MISTAKE

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 02, 2010

    Majeshi yao yanang'ara,basi kama kuna vita,jamaa hao wanaweza wakatushinda na mbwa zao!!!bila ya kuchomoa risasi!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 03, 2010

    we anony 10:56, mbona JK anatumiaga gari la jeshi akiwa kwenye dhifa za kitaifa kama uhuru, muungano n.k...au wewe unaishi Tanzania gani? halafu huyo Kibaki unayemfagilia anazo hizo S600 za kumwaga! Msafara wake ni mkubwa kuliko wa JK. Najua bongo tuna mapungufu yetu lakini usiwafagilie wakenya hivi hivi...na wao wana mapungufu yao. Wote (Tanzania na Kenya) inafaa tufanye mabadiliko.
    Mdau Cape Town

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 03, 2010

    They look nice! Mimi sio kama kamau anaona wivu then anaanza kukandia.

    sijui zile sepetu walizoshika wanafanyi kazi gani?!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 03, 2010

    wabongo raha sana nikiingi ahuku nakuwa nacheka tu wewe unayema watatushinda na mbwa wao umenichekesha sana..Unesahau na siye juzi juzi tulipata sijui waili wale wakunusa mabomu?

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 03, 2010

    nimewapenda hao askari mbwa wana mvuto kweli na nidhamu ya hali ya juu na sie sikukuu ya uhuru mbwa nao wafanye rigwaride kama hivi inatia hamasa kweli big up majirani

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 03, 2010

    WEWE WED JUN 06:45:00 ACHA UBISHI USIOKUWA NA TIJA KAMA UMESHINDWA KULIENDELEZA TAIFA LAKO HIYO INATOKANA NA UVIVU WAKO, MUONESHE KAMAU KUWA HAKUSHINDI KWA LOLOTE KWA KUTOA MIFANO HAI NA TAKWIMU KAMA BIDHAA ZETU KUFULIKA KWENYE MADUKA YAO NA SISI KUONGOZA KWENYE SHINDANO LA ZAIN VYUO VIKUU; VINGINEVYO NI HASIRA ZA MTU ALIYESHINDWA KIMAENDELEO ANAISHIA KUWA NA WIVU.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 03, 2010

    hakuna lolote wanajeshi wetu wapo kamili gado mziki mkubwa hao wachumba tu

    sema yote 9 kumi mziki upo rwanda wajamaa wale wamedata kwa kupiga shaba

    wale wakiamua wanaikamua east africa yote pekeyao wale jamaa ni noma ukiwaona nchi ndogo lakini mh

    wale wakianguka kwetu basi wape siku 3 tu ujuwe wamemaliza kazi

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 03, 2010

    Wakenya kwa kuiga! angalia watu waliokaa kule nyuma kwa rangi ya bendera yao. Wametuiga sisi siku yetu ya Uhuru tulivyojipanga kwa rangi ya bendera yetu. Halafu oh watanzania hawana sijui nini....

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 03, 2010

    Du! hili sooo sasa? mbona hawa wanajeshi wamewafunga minyororo akina ffu aka watoto wa mbwa?ndio kusema ffu hakuna kubwaka apo???

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 04, 2010

    mnaweka nyago za wakenya umu za nini weee michu??????

    ebu tutolee vichefu-chefu ivi!kujigonga tuu..wao wanatuwekaga kwao?

    ovyoooo

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 05, 2010

    kweli bwana Michu, achana na ishu za wakenya humu, hatumaindi kaka

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...