(picha na Amour Nassor wa VPO)
(picha na Amour Nassor wa VPO)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Tusipoangalia huu Muungano unaweza ukawa ni mzigo....Vikao kama hivi, mimi ninavyojua ni gharama kubwa sana (gharama halisi, gharama hewa etc) kama kila siku kunakuwa na vikao kujadili kero za muungano maana yake ni kwamba muundo au muungano wenyewe ni kero na kwa nini usivunjwe!!!
ReplyDeletehaya tena wazanzibari kama wanaume kweli semeni matatizo yenu,sio mnakaa mnalia kwenye majukwaa,kazi kwenu sasa
ReplyDeletetume kuweni makini mno katika kutatua hizo kero .maana yawafaa mufahamu kuwa wazanzibari hawataki muungano wenu feki!
ReplyDeleteso tambuweni kuwa hapa hakuna ujanja wa kiini macho.wazanzibari wako macho.
kama watanganyika mnataka muungano basi mufanye mambo kitaalamu ,kwa misingi ya haki na uwazi la sivyo BAI BAI MUUNGANO FEKI maana kiboko ya muungano feki ni serikali ya mseto zanzibari ambayo tayari imeshawadia.
kazi kwenu kina pinda sasa maana wazanibari wapo tayari kwa mbivu ama mbichi.
uamuzi wa watanganyika kuja ZANZIBAR kwa viza kama waendapo Dubai ni wako pinda na wenzio.
hahahahahahahahah!
Mdau unaitaji kufanya spelling check kwenye bahazi ya aticles zako.
ReplyDeleteWewe mpumbavu unayejiita Seedof nanai huku bara kakwambia anataka hilo limungangano ? Kwa taalifa yenu sisi hata leo ukivunjika hatutapata shida, shida mtapata nyie huko. Chakula chenyewe mnashindwa kujitosheleza. Halo Mhando wa Tanesco hebu wakatie umeme kwanza haao majuha.
ReplyDeleteYani wazanzibari kweli bado, yani kikao kikubwa kama hicho mnawapa waheshimiwa maji ya drop yasiyokuwa na kiwango hata kidogo, no wonder wengi wameyasusia maana glass zimepinduliwa!! waziri mkuu kayakacha ameamua kuagiza kilimanjaro. halafu eti hamtaki muungano? wakati hata maji ya kunywa yenye ubora mnashindwa kutengeneza, mna-import!
ReplyDeleteKWANI TATIZO LA KUNGANGANIA NINI WAZANZIBARI WASHAJUA WATAPATA TABU UKIVUNJWA SASA SI MUWAACHIE TU NA TABU ZAO? AU KUNA SIRI GANI? KAMA MAFUTA HATA BARA YASHAGUNDULIWA,MADINI KIBAO SASA TATIZO NININI? AU MAREKANI ANA WASI WASI KUTAKUWA NA UJAHIDINA VISIWANI WAKIJITEGEMEA? HEBU TUWACHIENI JAMANI TUPATE ANGALAU VISA FREE EUROPEEE
ReplyDeletesiku zote ukiongelea matatizo ya muungano,watanganyika wanakuja juu na kijisababu chao eti muungano ukivunjika wazanzibari watapata tabu!!! pumbavu nyinyi.
ReplyDeletedunia inafahamu jinsi muungano huu unavyoendeshwa kimabavu na majirani zetu wa tanga-nyika.
zanzibar na wazanzibar hawautaki huu muuitao muungano.
tunaanza na kura ya maoni kwa serikali ya mseto then tunamalizia kura ya maoni juu ya muungano.
watanga-nyika wasio na pasi za kusafiria wafanye hivyo haraka maana utakubidini muingie zanzibar (dubai ya africa) kwa viza.
dunia inafahamu juu ya ujuha wa watanganyika.nchi yao ina kila aina ya utajiri wa kuifanya nchi na wananchi wake wawe matajiri lakini wapiiii?
mahahabu.maalmasi,urenium,bahari,misitu,ardhi bora kwa kilimo,lakini hakuna lolote mlonalo!
leo hii tanga-nyika inaendeshwa kwa misaada(pumbavu)
ni kweli zanzibar maisha magumu,lakini muungano unazidisha ugumu wa maisha hapa visiwani.
hatuna madini,gesi wala mafuta lakini tukiwa huru tutaendesha maisha yetu kama kawa vileeee.
nimefurahi majuzi nilipomuona mengi akisisitiza tanzania isipunguziwe misaada!!
pengine nchi ina laana hii tujitizame tulikotokaa.......