Kamanda Jonathan akiongoza kikosi mitamboni. Hapa ni kwenye mnuso mmoja wa nguvu usiku wa kuamkia leo hapo katika ukumbi wa Diamond Jubilee hall jijini Dar. Ukiwa na mnuso wako we wasiliana nasi tu na utafurahi na roho yako
kazi na tabasamu ndio kauli mbiu yetu
ankal akiwa na kikosi kazi chake.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2010

    Ankal na kikosi chaa kazi! baabu kubwa,kumbe kikosi cha mzee wa libeneke ni moto mkali

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 21, 2010

    Hebu tujulishe kikosi kazi hicho kinafanya nini wakati wa mnuso? Picha, maandalizi, au nini?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 21, 2010

    Michuzi, gender balance iko wapi hapa?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 21, 2010

    Lakini wasiwe wanakunywa bia wanapo kuwa kazini. haya ndiyo matatizo ya ma-MC na Ma DJ wengi hapo bongo wanajisahau kwamba wapo kazini hapo na wala si wageni waalikwa. hata wasipo pewa soda ni sawa tu sababu watalipwa haki yao. Ni hayo tu.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 21, 2010

    Ankal kikosi chako ni kikubwa sana kuingia nacho kwenye mnuso, inaleta hasara watu 6 jamani duu na wote hao lazima wanywe na wale.
    Haya tena. mdau Mwananyamala

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 21, 2010

    ANKAL MIMI NAKUMBUSHIA VULANAZZZZZZZZ HADI LEO NI KITENDAWILI BASI TURUDISHIE ANUANI ZETU.
    MDAU
    KISIJU PWANI

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 21, 2010

    Naungana na Mdau hapo juu Gender balance iko wapi? Halafu pombe na kazi haviendani kazi kwanza pombe baadae! Mkiendekeza pombe mwisho ni kuharibu sherehe, kikosi kikubwa sana angalau wawe watatu kushuka chini. Si unajua mambo ya Bajeti?

    ReplyDelete
  8. yaliyomo yamoJune 21, 2010

    kikosi sio kikubwa jamani. mnafikiri wote wanaenda kufanya kazi moja?
    1 ni mpiga picha za mgando 9still pictures0
    1 ni mshereheshaji (mc)
    1 ni dj (muziki)
    1 ni msaidizi wa dj (kuchanganya picha za video zinazoonekana moja-kwa moja ukumbini) na ni fundi mitambo (umeme) anahakikisha mambo yote yanayohusu umeme yanakwenda sawa.
    1 ni mpiga picha za video.
    1 ni msaidizi wa mpiga picha za video (kushika taa, waya n.k)

    good job issa.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 21, 2010

    Ankal, 50/50 wapi????

    Gender balance hamnaaa??

    Maisha ya sasa muhimu kuangalia hiyo, kama ulikuwa bado hujafikiria anza kuona namna ya kufanyia kazi. Hata mamuu unaweza kuanza kumuandaa andaa.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 21, 2010

    hakuna wanawake kabisaaaa!!heeee

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 22, 2010

    hapo ukitia mwanamke matokeo yake!? ...bora timu ibaki hiv hiv

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 22, 2010

    Ankal, nimejua sasa wewe ni mbaguzi
    Kama ungekuwa hapa America usingepata kura yangu. Cha kushangaza huna gender balance kwenye kikosi chako hii IMEKAAJE??? una lakutueleza kulikoni??

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 22, 2010

    Maweeeee!! kuuumbe wanakunywa kaieinekeni, yaani bojo! hawa watoto wa mchuzi.

    Nkyabo - Bongo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...