Ulinzi ulikuwa mkali katika mkutano wa kurekebisha katiba ya klabu ya Yanga uliofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysreba jijini Dar leo.
wanachama wakiingia ukumbini

Mwenyekiti wa Yanga aliyemaliza muda wake Imani Madega akiongea na wanahabari

Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Imani Madega akifungua mkutano
wanachama wakishangilia baada ya kutangazwa
kuwa uchaguzi mkuu utafanyika Juni 27
Imani Madega akioaga baada ya mkutano
Imani Madega akiaga wanachama kwa kuwashukuru







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2010

    ankal unatuchelewesha tupe habari za kigali

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 06, 2010

    Madenga madenga

    ReplyDelete
  3. Ndoto ya mchana,SwedenJune 06, 2010

    Tumepigwa bao 1-0 na Rwanda na tumetolewa inasikitisha,

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 06, 2010

    Fans stampede at World Cup warm up

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 06, 2010

    Ankal
    Matokeo ya Stars vipi?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 06, 2010

    http://www.wavuti.com/4/post/2010/06/rwanda-1-tanzania-0.html

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 07, 2010

    Ankal tunakushukuru sana kwa kutupa habari za timu ya wananchi. Hawawengi waliotoa maoni hapa naona ni wa upande wa mnyama. naona hawataki kabisa kusikia kwamba nasi tunataka tuwe na uchaguzi na uongozi bora kama wao! hatua ya demokrasia waliochukua madega na wenzie lazima ipongezwe. sasa tunaomba wenye uwezo wajitokeze hiyo tarehe 27 wagombee uongozi. tunasisitiza kwamba simba wasiwe na nafasi ya kutuharibia uchaguzi wetu kama wanavyofanyaga.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 07, 2010

    Hivi huyo jamaa mwenye radio call siyo Amani Ramadhani kweli? longtime kichizi, mitaa ta Mwembetogwa, haaahaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...