Ndugu Ramadhani Dimando (OWITE) na familia yake
Wanasikitika kutangaza kifo cha mwanawe FATUMA RAMADHANI, kilichotokea Hospitali ya HINDU MANDAL jana alfajiri ya 22/6/2010 DAR-ES-SALAAM saa nane alfajiri.
Wanasikitika kutangaza kifo cha mwanawe FATUMA RAMADHANI, kilichotokea Hospitali ya HINDU MANDAL jana alfajiri ya 22/6/2010 DAR-ES-SALAAM saa nane alfajiri.
Mazishi yatafanyika kesho baada ya sala ya saa saba mchana, msikiti wa KIBLA TEIN na msiba utakuwa GEREZANI (PORT VIEW) nyumbani kwa ndugu Godfrey Joseph Manoni. Habari ziwafikie wote wanaotufahamu popote pale walipo. Kwa mawasiliano:
Rama- +447957520401
Fatuma- +447867851142
Sauda- +442082707116
Manoni- +255784304525
Rama- +447957520401
Fatuma- +447867851142
Sauda- +442082707116
Manoni- +255784304525
FATUMA, Rest in Peace.
ReplyDeletePoleni sana wafiwa.
Poleni sana wafiwa; Dada Sauda, Ramadhan na Halima. Mwenyezi Mungu awatie nguvu muweze kustahimili msiba huu katika kipindi hiki kigumu cha maombolezi. Mwenyezi Mungu amlaze pahala pema mpendwa wetu. Amen.
ReplyDeleteUli