Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 23 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 05, 2010

    Mungu amsamehe.....Lord have mercy on him

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 05, 2010

    How could this be happening?
    Please pass the following message to this transgressor.

    1:Say: He is Allah, the One and Only;
    2:Allah, the Eternal, Absolute;
    3:He begetteth not, nor is He begotten;
    4:And there is none like unto Him.

    Peace.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 05, 2010

    huyu inabidi akutanishwe na nabii tito lol! watani wa jadi wametupiga bao wao wana mpaka mungu kabisaa duuuh!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 05, 2010

    JAMAA KAVUNJA RECORD YA TITO(NABII WA POMBE).KWELI UKISHANGAA YA MUSA......

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 05, 2010

    Baba ake Kamau.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 05, 2010

    DUU , HII KALI YA MWAKA !!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 05, 2010

    Wahaa, hapa si kenya lakini? Sasa ile issue ya kuwa wakenya ni watu wenye akili kuliko wote iko wapi?

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 05, 2010

    Duh yaani jamaa amewezaje wezaje kuwafanaya wenzake waamini kuwa yeye ni mungu? jamaa kama ni mungu kashindwaje kujirejeshwa meno? waumini wake na yeye mwenyewe wote wanakufa kwa njaa kwa nini hawapi chakula?

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 05, 2010

    Mtangazaje yuko sahihi sana kamalizia akisema vipi binadamu akamuamini binadamu mwenzeke kuwa mungu?Swali zuri sana wengi wa tunaemlaumu huyu jamaa hapa hatuwezi kulijibu hili.Mungu hawezi kuwa binadamu,safi sana.wala hafanani na chochote duniani.

    ReplyDelete
  10. chakubangaJune 05, 2010

    Mungu ni mila na desturi za watu,manabii waliozingatia utamaduni wao walitokewa na mungu,wakafanya miujiza watu wakaamini maneno yao na kupata nyomi ya wafuasi dunia nzima,leo hii msukuma atakwambia ni roman catholics,wewe mtu wa shinyanga kujiita roman wapi na wapi?
    Huyu jamaa anaabudu na watu wake wa nyumbani arthi moja tamaduni zinazofanana,kama anawapa wafuasi wake matarajio mema,amani na upendo, wapi bora! Desturi za roma,israel au desturi za nyumbani??

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 05, 2010

    DUH! WAKENYA KIBOKO!

    MI NILIDHANI WANA OBAMA PEKEE YAKE,
    KUMBE HATA MUNGU!!!!!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 05, 2010

    MWISHO WA DUNIA SASA UMEKARIBIA!!WATU WANAANGUKA NA UNGO,NABII TITO NA SASA MUNGU MTU..HUYU MZEE NI MHASHARATI WAKE WENGI HIVYO WA NINI??MBONA MUNGU HANA MKE.YEYE UMUNGU WAKE KAUPATA WAPI?TAPELI HUYU

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 05, 2010

    wewe mdau wa Sat Jun 05, 02:06:00 PM mbona unajikanyaga mwenyewe? unauliza suali baada ya wewe mwenyewe kuweka jawabu?

    Huyu jamaa hana hata muujiza mmoja, ameshindwa hata kujirejeshea meno yaliyomtoka, watu wake hawana pesa wala chakula, wanaomba na kufanya kazi katika mashamba ya watu wengine, sasa kwa nini asifanye miujiza yake na kuwapatia watu wake chakula?

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 05, 2010

    mdau wa Sat Jun 05, 01:53:00 PM umesema kweli na kwa upande wangu huwa najiuliza pia inakuwaje mtu anaweza kuwafanya wenzake waamini kuwa yeye ni bora zaidi yao na kuwa mfalme wao? Inakuwaje mtoto mdogo wa miaka 18 awe anaheshimiwa na kupigiwa magoti na mtu makamo au mwenye umri unaomzidi baba wa huyo mtoto?

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 05, 2010

    Huyu hanatofauti na Nabii Eliya ambaye ameshafariki sasa lakini miaka ya tisini alikua very popular doing the same thing in Same sema wakati huo kulikua hamna mtandao wakumuonyesha kwa wale wanaomjua alichokua anafanya tofauti aliwatumia wake zake na watoto kufanya miradi ya kilimo na mifugo kwahiyo walikua hawaombi ombi.nafikiri compound yake bado inaendelea pale kisiwani Same nilipataga kibali chakumtembelea mwaka 2000. Huwezi kuamini kunavitu kama hivyo duniani leave alone Tanzania.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 05, 2010

    Hawa majirani kila kitu kizuri wanadai chao (strictly Mt. kilimanjaro in this case), sasa hata mungu naye ni wao, duh!!!

    ReplyDelete
  17. Kwa kabila ya watu wa kwa kijiji hichi mungu = mtawala mwenye anawesa oa wanke wengi na kusaa bila yeye hapana jua ana wachildren wangapi.

    wajuanga kama vile wewe unawesa wasalisha wananke wengi pasi na wewe kulalamika waumwa mgongo basi wantu wanaanza kusema eti ya kuwa wewe wafaa kuwa mungu wao yaani ni kama lile jogoo la mbegu eeeh!

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 05, 2010

    Kwa sababu ya mapengo hapo mbele, I bet huyu bwana ni mjaluo. Sijui kakutwa na nini mpaka akajitangaza kuwa yeye ni mungu. Kutesa tu wasioelimika. Eeh baba mungu tusaidie kuyatambua haya. Kamau your people are letting you down.

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 05, 2010

    mungu ana mapengo!! lmaooooooooooooooooooooo

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 06, 2010

    wewe anon. Sat Jun 05, 02:06:00 PM, acha hizo bwana, sio roman catholic, ni catholic.

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 06, 2010

    MUNGU: Ni mmoja tu.yeye ndie mwenye kuabudiwa peke yake na c mwingne.Hakuzaa wala hakuzaliwa hana mke wala mtoto,wala hana anaeshirikiana nae. Hafanani na kitu na kiumbe chochote.

    HUYO JAMAA AKAPIMWE AKILI HAYUKO SAWA.

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 06, 2010

    Astaghafiruulah jamani dunia imekwisha tafadhali michuzi watu kama hawa usiwaweke kwenye glob yako na wewe utapata dhambi kwa hilo kwani huyo anakufuru kwa mwenyeezi mungu na wewe unamuweka huyo hafai hata watu wamuone kwani akukufuru mbaya sana na tunajua karne ya mwisho watakuja wengi wenye kukufuru na kujiita manabii na mungu wa uongo mwenyezi mungu amsamehe amuondoe kwenye moto huo anaoutafuta amin

    ReplyDelete
  23. AnonymousJune 06, 2010

    Me ningependa kujua, huyu jamaa ana umri gani?na wazazi wake wako wapi?kama wapo hai, kabla hawajamzaa inamaana wazazi wake hawakuwa na Mungu?kama wamefariki kwanini kashimdwa kuzuia wazazi wake wasife?
    Dunia inaelekea mwisho ndg zangu,dalili zote tayari
    Mungu ni mmoja,hakuzaa wala hakuzaliwa,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...