Home
Unlabelled
usiku wa maombezi washington dc na mchungaji mwakasege
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh bongo zaidi ya uijuavyo wewe!
ReplyDeleteMtumishi wa Mungu, ubarike sana na huduma yako. Mimi nipo nje ya Tz lakini kwa kupitia huduma yako ya masomo ya Mtandaoni, nimemuona Mungu kwa namna ya pekee. Ninatamani sana kuhudhuria maombezi yako physically, najua Mungu ataniwezesha tu. Bwana na azidi kukuinua katika jina lake Takatifu.Huduma yako ikafanyike kuwa baraka kwa wote waaminio.
ReplyDeleteMimi ni mkristu na sijaelewa maelezo ya picha "siku hii muhimu kwa Taifa letu" naomba ufafanuzi
ReplyDeleteNielewavyo siku muhimu ya taifa letu ni kama siku ya Uhuru, Mapinduzi, Muungano, Ushindi vita vya Kagera n.k
Jamani wenzetu wa USA mmebarikiwa kumpata mtumishi wa bwana Mwakasege. Jamani lini utakuja kwetu Canada??? Je mnafanyaje mpaka anakuja kuwalisha neno la bwana. I hope na balozi wetu siku moja ataona huo umuhimu akamwalika. Sefue mbona ukiwa hapa Canada hukufanya huo mwaliko?? watu tukapata upako.
ReplyDeleteMNA UBAGUGUZI HILO KANISA MBONA NI WAAFRIKA WATUPU HAMNA MZUNGU HATA MMOJA
ReplyDeleteNsomba kufahamu kama Christopher Mwakasege amekuwa Mchungaji kwani ninavyofahamu mimi siku zote amekuwa ajielekeza kuwa yeye ni Mwalimu. Natumai wanaosema Mtumishi wa Mungu wako sahihi zaidi kuliko kumuita Mchungaji jambo ambalo yeye mwenyewe hajawahi kulikubali.
ReplyDeleteAnony wa Jun 03,12:22:00
ReplyDeleteNgoja nijaribu kukusaidia uelewe kwa nini siku ya kuombea taifa ni siku muhimu:
Wakristo tunaamini kuna ulimwengu wa aina mbili yaani:
1.ulimwengu wa mwili (unaoonekana kwa macho)
2. Ulimwengu wa roho.
Ulimwengu wa roho nao umegawanyika mara mbili yaani
1.Ulimwengu wa roho wa nuru
2.Ulimwengu wa roho wa giza.
Mbambo yote yanayotokea katika ulimwengu wa mwili huwa yanaanza kutokea kwanza katika ulimwengu wa roho.
Kwa mfano: Katika ulimwengu wa roho wa giza mtu anaweza kwenda kwa mganga kwa ajili ya kumtoa mtoto wake kafara. Kinachotokea hapa ni kafara kwanza katika ulimwengu wa roho halafu ndio kifo kinatokea katika ulimwengu wa mwili.
Katika ulimwengu wa roho wa nuru vilevile mambo tunayomuomba Mungu leo, yanaanza kujibiwa katika ulimwengu wa roho kalafu ndio kesho tunayaona katika ulimwengu wa mwili
Kwa hiyo tunapoombea taifa leo, sisi tunaona ni suku muhimu kwa taifa maana majibu ya maombi yetu ya leo katika ulimwengu wa roho ndiyo yanayopelekea mafanikio ya kesho ya taifa letu.
Nadhani umeelewa kidogo. Mungu akubariki
Mimi namkubali sana mch. Mwakasege hasa katika mahubiri yake. Kama anahubiri kwenye TV hata kama kuna mpira wa Chelsea lazima nimsikilize kwanza ndo niangalie mambo mengine, Bwana aendelee kumuinua.
ReplyDelete**Hivi kumbe wachungaji hawasumbuliwi kupewa VISA ya USA ubalozini Bongo eee!!
Nkabo- Bongo
BRUNO Mazalli Mr London alikuwepo pia Luftansa
ReplyDeleteKatika maombi mchungaji naomba waombee wabongo wakumbuke kurudi makwao hasa wale waliokwenda kuuza sura na kusuka nywele.
ReplyDeleteMtumishi natamani ungekuja huku russia nasi tupate upako.ubarikiwe sana.
ReplyDeleteNaomba kuelimishwa maziwa makuu ndio nini? siku hii ni siku gani kwa taifa hadi kusemwa ni siku umuhimu gani kwa taifa?
ReplyDeleteI wish I could be there, Mtumishi wa Mungu kupitia kwenye hii screen naamini napokea muujiza wangu ktk Jina la Yesu
ReplyDeleteHivi huko Washington DC hakuna wazungu? Au wao hawahitaji maombezi kama hayo?
ReplyDeletehuyu baba mchungaji hakika analisha kondoo wake malisho yaliyotukuka.mchungaji jaza upako mafisadi wana tanganyika wapate kombolewa.
ReplyDeleteBadhani Lengo hasa ni kuwafikia watanzania ama wasema kiswahili ambao wako mbali na nyumbani na haya mambo yanawakosa. Ila hata wazungu huwa wanakaribishwa, mfano hata hapa UK huwa tunamualika mwalimu Mwakagege na wazungu huwa wanahudhuria tunawatafsiria.
ReplyDeleteNafurahi mno kuona neno la Mungu linahuiriwa na maombi ya muhimu kama hayo ya kuliombea taifa letu ili liendelee kuwa na amani yanafanyika....
God bless u all.
barikiweni sana na mwl.mwakasege Jehova akuinue sana na akulinde dhidi ya ukengeufu na vita vya ufalme wa giza
ReplyDeletenawapenda