


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Uruguay not Paraguay.
ReplyDeleteScreen? Au Projector?
Inakuwaje hapo mvua ikishuka?
ReplyDeleteSi mchezo! Naona Africinema inatutoa kimasomaso. Kwenye nchi ambayo sio kila mtu ana uwezo wa kununua TV, hii imetulia. Niliona ni vizuri nijifunze zaidi kuhusu hawa jamaa wa Africinema, tovuti yao ni www.africinema.com
ReplyDeleteplase,ni projector hiyo!
ReplyDeleteSo what ni screen au projector who cares>>>Acheni wivu wapongo bwana...badala ya kuangalia maendeleo ya mtu mnakwanyua vijimaneno vyenu...Najua mliokomalia hiyo difference pua zinawavuja jasho kwa wivu tu hapo mlipo
ReplyDeleteMvua ikija watajua jinsi ya kufanya acheni longo longo
Hizi ndio faida za Open space inamsaidia kila mtu tatizo Mifisadi wakikutana na wazee wa mtindio wa ubunifu (JIJI) wanamegeana tu kwa kisingizio cha kuwekeza,Mahotel nk si wakejenge huko nje ya miji mbona maviwanja kibao??
ReplyDelete