Professor J akipokewa Houston


Ngome.net inayofuraha kumkaribisha Professor Jay ndani ya america tayari kwa kupiga tour kali sana. Show ya kwanza ni ndani ya Houston, ukumbi wa safari, leo usiku jumapili tarehe july 4,
kusindikiza sikukuu ya uhuru wa marekani!!

Watanzania, wakenya, wanyarwanda, waganda, wacongo, warundi, nk. Wote mnaombwa mjitokeze kwa wingi kumpa support mtu wetu wenyewee!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 06, 2010

    Nakuona Kitova na Prof J,kweli jambo zuri na nyie muone vijana wa kibongo wakikamua,pia wape na exposure wanamuziki wa bongo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...