
JK akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Bukoba mjini,Bw. Hamis Kagasheki katika kampeni za uchaguzi mkuu anazoendelea kuzifanya mikoani.

JK akimsikiliza mgombea ubunge wa jimbo la Bukoba Vijijini,Bw. Jasson Rweikiza alipokuwa anawatubia wakazi wa kijiji hicho mara baada ya kunadiwa.

Sehemu ya umati mkubwa wa wana CCM na wapenzi wa chama hicho wakimsikiliza JK katika mkutano huo uliofanyika katika uwanja wa Mashujaa.

JK akiwa katika picha ya pamoja na wagombea ubunge na udiwani wa Bukoba.

Kinamama wa Bukoba mjini wakimshangilia JK alipokuwa akihutubia umati wa wana Bukoba katika uwanja wa Mashujaa.
picha ya juu yule sio Kagasheki,kagashaki kipenzi chetu tunamjua uzuri.ni makosa kdg tu
ReplyDeleteMichuzi kwenye picha mojawapo hapo katika mkutano wa kampeni nimeona kuna bendera ya taifa!! Hii imekaaje? Ni swali tu nahitaji kueleweshwa.
ReplyDeletekale kasebene cha JK2010 kitamu mmm!!mistali yake raha tupu!
ReplyDeleteheti Kanimama wote tumchague!
Kikwete!
akina baba wote tumchague
Kikwete
Vijana na wazee tumchague
Kikwete!
Jamaa eh!eh
Jakaya Kikwete
kwa kweli nilipokia leo redioni rahaa tupu
Mithupu umechemsha oicha ya juu kabisa sio kagasheki bwana huyo, tafuta jina vizuri la huyo mgombe
ReplyDeleteMichuzi jaribu kurekebisha maelezo ya picha ya kwanza huyo mgombea sio Hamis Kagasheki ni Charles Mwijage.
ReplyDeletemdau Paka la Jikoni.
Huyo hapo juu namfahamu sana sio kagasheki ni Chares Mwijage dada zake ni Gerardina wa Upanga na Vicky wa Kijitonyama Dar. Wao mkorogo walisema NOOOOOOOOO!
ReplyDeleteMpeni kura jamani. Hawa jamaa huwa wananifurahisha sana mambo yao. Uongozi supa, kujitolea supa.
Huyu Mwijage mchagueni ataleta maendeleo.
hongera sana rweikiza yani hapo naona jk anatabasamu tu ishara ya kukubali anachoongea rweikiza safi sana
ReplyDelete