Mgombea Ubunge Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Philemon Ndesamburo akihutubia wananchi wa Jimbo hilo waliojitokeza wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho hivi karibuni kwenye viwanja vya Manyema.
Umati mkubwa wa wafuasi wa Chadema na Wananchi wa Jimbo la Moshi mjini waliofurika viwanja vya Manyema katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni wa mgombea Ubunge wa chama hicho,Philemon Ndesamburo hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. kuna huu wimbo wa diamond huko youtube changua ccm
    kuna sehemu ina sema kikwete katuletea Brazil wakati vingilio viliwekwa vikubwa na TFF walisema serikali haikutoa hela yoyote watu walipolalamika kuhusu hivyo vingilio naisi hapa hela ililliwa maana kama vipi ccm wangemtumia msanii kuwapigia debe kwa maneno yasiyo ya ukweli hoja nani haliwaleta Brazil?

    ReplyDelete
  2. Kuna mengi katika wasanii wa bongo
    1. ujinga
    2. Hawajishugulishi kutafuta data
    3. Njaa kali wanatunga nyimbo wasizo zijua

    Na nina wasikitikia kwani wanaongoza kwa njaa kali mjini lakini hawajafumbuka macho.

    ReplyDelete
  3. Ndesamburo nDesapesa jembe la chadema, mbuyu unaowaumiza kichwa CCM, Mbaya zaidi CCM wamemteua Salakana aliyejiandikisha kupiga kura Rombo ambaye inaonyesha hakujiaandaa kugombea ubunge

    KIDUMU CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO

    ReplyDelete
  4. Ankal, naona kidoogo umeleta taswira za CHADEMA....tunashukuru kwa hilo maana ulikuwa unaharibu kabisa maana nzima ya blog ya jamii......endeleza libeneke bila kujali itikadi yako inayojulikana....hongera ankal

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...