Assalam Alaykum


Nasikitika kuwataarifu Watanzania wenzangu kuwa Mzee wetu, Sheikh Harith Bin Khelef (Mufti Mkuu wa Zanzibar) amefariki leo alfajiri nchini india. Familia inaendelea na maandalizi ya kuurudisha mwili wa marehemu nchini kwa ajili ya mazishi.
Mjukuu wa Marehemu,
Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Inna lillahi, wainna ilayhi raj'un.
    RIP mufti

    ReplyDelete
  2. INNA LILAHI WAINNA ILAYHI RAJ,UN.... POLENI SANA WAFIWA.

    ReplyDelete
  3. Hamim, Mikanjuni TangaAugust 27, 2010

    Inna Lillah Wainna Ilayhu Rajiuun.
    Poleni sana wafiwa wote.

    ReplyDelete
  4. Inna Lilah wa inna ilayhi Rajiunna,
    nawapa pole sana wafiwa, namfahamu Sheikh Harith wakati wa miaka ya 90 akijia Iringa mara kwa mara dukani pake Zanzibar Store Makarongoni mie binafsi alinisaidia.
    Mwenyezi mungu awajaze nguvu wafiwa. Poleni sana

    ReplyDelete
  5. inallilahi wainna ilayhi rajiun mmungu amlaze pema peponi

    ReplyDelete
  6. Poleni sana wafiwa. Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. Amin.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...