Home
Unlabelled
Vodacom Miss Tanzania watembelea Hifadhi ya Ngorongoro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera kwa waandaaji.warembo wanaenjoy ni kambi nzuri wengi hawatasahau.
ReplyDeleteKuleni bata tu watoto. Angalau kwa watakaoshindwa mtakua mmetesa kidogo!
ReplyDeleteThe dominance of the rulling party - by Mohabe Nyirabu
ReplyDeleteBado sijaona mrembo apo!
ReplyDeleteHuyu mwingine anatumia simu kwenye stage kama hii muhimu!
ReplyDeleteWw anon wa Tue Aug 24, 05:07:00 PM uayesema, "Bado sijaona mrembo apo!" hebu tuoneshe demu wako basi.
ReplyDeleteMbona huonyeshi mchakato of miss universe hahahhah au kwavile hatukufika kokote hahahhahah
ReplyDeleteMichuzi, acha kubana mitundiko mingine kuhusu hizo nywele feki na matarajio ya Miss Universe; au endapo hao warembo walikaribishwa vyakula vya wazawa hapo Ngorongoro!
ReplyDeleteKama hukuipokea hiyo mitundiko, basi niko radhi kukuletea tena!
Sijaelewa hizo namba porini huko za nini?
ReplyDelete