Home
Unlabelled
wagombea ubunge wa A-Taun
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hili jimbo lilikuwa liende kwa kibola.......
ReplyDeletemdau wa kwanza kwa sababu alikupa kitu kidogo ndio maana ukigawe kwa wapiga kura, nao wakachukua na mwishoe wakampa kura wamtakae! Mtashangaa mwaka huu wanawake watakavyowagalagaza huko majimboni.
ReplyDeleteWanawake Oyee! Wewe cheki mahala pengi wanawake wamewaburuza kama gunia la mkaa!
Nakibaliana na huyu bwana kuwa watu wa Arusha wameshindwa kumchukua Dr Kibola kuwa mbunge wao. Ni mtu makini sana na sisi waandishi wa habari tunamjua kwa ndani sana. Ni mtu makini, asiyependa utani kwenye kazi na anayejua uongozi bora. Pia ni mtu anasaidia sana wenye shida.
ReplyDeleteVijana bwana ndio watu wa Arusha walitakiwa waangalie.Dr.Burian ashakuwa kwenye system tayari tungetakiwa tuweke changamoto moyo toka kwa vijana wetu wasomi kama Michael Sekajingo..kijana mchapa kazi na hodari na ameweza kusimamia project kubwa za owner wa Impala kuwa very successfully.Hii tabia ya kuchagua watu wenye majina tayari ndio inayoturudisha nyuma
ReplyDeleteHongera sana Dr. Batilda.
ReplyDeletevery smart, pleasant personality, experienced, highly educated, visionary, decent campaigner, respectful, need I say more?
(US Blogger)