JK akisalimiana na wananchi wa Kata ya Lupembe,wilayani Njombe, wakati alipowasili na kuwahutubia katika mkutano mkubwa wa Kampeni.JK akicheza pamoja na wananchi wa Kata ya Lupembe muda mfupi baada ya kuwasili katika kata ya Lupembe wilayani Njombe na kuwahutubia katika mkutano mkubwa wa Kampeni.JK akisalimiana na baadhi ya Wazee wa kata ya Lupembe wilayani Njombe,mkoani Iringa pindi alipokuwa akiwasili katika kata ya Lupembe na kuhutbia katika mkutano mkubwa wa Kampeni.picha na Freddy Maro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hivi wadau Editorial ya Daily News leo mmeiona??

    Iko kwenye mstari kweli!!

    ReplyDelete
  2. Hi! Kipenzi cha watu JK anaserebuka na sebene na wananchi ktk sebene la JK2010? hakuna wa kumzuia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...