Col. and Mrs Maganga wakiwa mbele kwenye Anniversary ya miaka 25 ya Ndoa yao huko Washington - Marekani, Col. Maganga ni Muambata wa Jeshi kwenye Ubalozi wa TAnzania - Washington.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Hongera sana my dear Love, nawatakieni kila la Kheri, Mungu awabariki sana. Rukia

    ReplyDelete
  2. Baba Sizya na Mama Sizya, hongereni sana, mwenyezi mungu azidi kuwapa ndoa yenye upendo na amani ktk maisha yenu yote.

    ReplyDelete
  3. Klililiiiiiilii!waooow!hongereni sana mr & mrs Maganga (madam Love), May your anniversary be Happy and Grand.God bless u and your family. suzy m.

    ReplyDelete
  4. Jacqueline HauleOctober 04, 2010

    Hongera wifi, Mungu awajalie miaka mingine mara tatu ya hiyo ya upendo na amani katika maisha yenu ya ndoa.

    ReplyDelete
  5. Hongera wifi, Mungu awajalie miaka mingine mara tatu ya hiyo ya upendo na amani katika maisha yenu ya ndoa.

    ReplyDelete
  6. Hongeren sana. Mungu awajalie maisha marefu na upendo, amani katika maisha yenu ya ndoa.

    ReplyDelete
  7. haya ndo mambo ya kutuwekea watu wazima siyo hiyo mibirthday yako. hapa tunajifunza kutunza ndoa ili na ss siku moja tusherekee umri mkubwa wa ndoa zetu.HONGERENI WAZEE WETU NA MUNGU AZIDI KUWABARIKI. NASI TUTAIGA TOKA KWENU

    ReplyDelete
  8. hongera mama long time tangu diplomasia na baba tangu yale maghorofa ya pale arusha yanayofahamika kama kibla,nawatakia heri ya miaka ishirini na mitano mingine

    ReplyDelete
  9. Hongera sana aunt & uncle, naomba Mungu azidi kuwabariki. God gave you two a special love to share because He knew how much you would cherish it. You have set a good example kwa mtoto wa kipaima kufuata. Lots of love.Happy Anniversary

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...