Home
Unlabelled
dr. shein akutana na wana CCM jimbo la tumbatu leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyo ndio mwana CCM wa ukweli. Mpeni kura wana tumbatu. Wengine wangekuja na mbwembwe za HEDIKOPTA. Yeye hana makuu kakunja sarawili yake kavua viatu vyake kayakanyaga maji kuingia CHOMBONI.
ReplyDeleteYakhee huko Tumbatu wakutana na akina ustadhi Ngwale!
ReplyDeleteWANACCM TUNAKIHARIBU CHAMA CHETU KWA KUKIFANYA KIONEKANE KUWA CHA WAJINGA,TULIISEMA CHADEMA UCHAGUZI ULIOPITA KUHUSU MATUMIZI YA HELIKOPTA LEO HII NA SISI TUNAITUMIA; LAKINI PIA TUNA MADAI YASIYO NA MSINGI KUWA AHADI ZAO ZOTE HAZITEKELEZEKI! CHA AJABU BAADHI YA AHADI HIZO NA SISI PIA TUMEZITOA, KAMA HAZITEKELEZEKI IWEJE NASI TUMEZITOA? AU HUWA HATUWEKI KUMBUKUMBU YA TUNACHOSEMA? TUWE MAKINI ILI TUSIJE TUKAONEKANA KUWA NI WAONGO NA WANAFIKI.
ReplyDeleteMimi si mwana CCM ila kura yangu nitaitoa kwa Jahkaya na huyu yakhe maana ndio viongozi haswa wastaarab na wenye uungwana na wasio na majungu kama Sam 6,Butiku,Slaa,Tingatinga,S.A.Salim,Mbowe n.k
ReplyDeleteWaTZ twaweza chagua viongozi tuwatakao binafsi ila hawa ndio chaguo la Mungu hata kanisa Katoliki liliwahi kuzungumza hivyo chaguo la Mungu siku zote halipingiki n amwenye kulipinga atalaaniwa.
Wee Michuzi kama kawaida yako bania hii ila nishakuzoea.
ZAUNUNU-AMSTERDAM
He is so cool...namzimia sana dr Shein ol the best on sunday!
ReplyDeleteKUBANIA COMMENT ZA WACHANGIA MADA KTK BLOG YA JAMII NI UFISADI MWINGINE HAPA NCHINI.
ReplyDeleteKWA AMA KUOGOPA AU KULINDA MASLAHI YA WENGINE UNABANIA COMMENT ZA KIUKWELI ZINAZOTOLEWA NA WADAU.COMMENT ZOTE UNAZOTOA NI ZILE ZA WAOGA AU ZA UNYENYEKEVU KWA MTU FULANI ILA ZILE ZENYE UKWELI UNAZIFICHA.KWANINI?WHY?
UTALAANIWA NA MUNGU KWA KUANZISHA BLOG SAFI NA YENYE KUELIMISHA WATU KWA HARAKA NA WATU WANAPOTAKA KUITUMIA BLOG KWA FAIDA YA WOTE UNABANIA.
ADUMU JK,ADUMU DK SHEIN ADUMU MR.SUGU,ADUMU DK HUSEIN MWINYI ADUMU ZITO KABWE ALAANIWE DK SLAA NA KANISA.
BANIA TENA HII.
Z.A