Tafadhali naomba chapisha kwenye blogu/tovuti yako nafasi hii njema kwa ajili ya wenye ulamavu kuweza kupata msaada toka ABILIS kwa ajili ya miradi yao.
Tanzania ni mojawapo ya nchi sita tu zilizotengwa maalum kwa ajili ya kunufaika na 'funds' hizi. Linki yenye maelezo ni :
http://bit.ly/ABILIS
Asante!
Subi
Tanzania ni mojawapo ya nchi sita tu zilizotengwa maalum kwa ajili ya kunufaika na 'funds' hizi. Linki yenye maelezo ni :
http://bit.ly/ABILIS
Asante!
Subi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...