Tunaelewa kwamba wakati mwingine unakosa nafasi ya kuwa karibu na computer yako kusiliza kipindi cha Kombolela Show na vipindi vingine vinaletwa kwenu "live" na Radio Mbao (www.radiombao.com), lakini kuanzia sasa, Radio Mbao itakuwa inakuletea vipindi vilivyorekodiwa ili usikose uhondo.

Tuanze basi na kipindi cha Kombolela Show, kilichorushwa hewani Oktoba 23, 2010. Mgeni wetu alikuwa Rajesh Rajani. Pata uhondo hapa chini:
Shukrani,
Utawala,
Radio Mbao
1+614-604-7498

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...