JK akipiga stori na Bw. Jivuneni Bakili Mbunda, mmoja wa mamia ya wakazi wa Liwale aliowahutubua leo akitokea Njinjo na kisha kuelekea Luangwa na Nachingwea katika kampeni zake mkoani Lindi
JK akisalimiana na wana Liwale leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Kwanza nampa pole na kumuonea huruma bwana Mbunda. Hiyo ni kazi ya mikono ya Muumba aka Mungu.

    Napenda kutoa ushauri hapa kwa Kikwete na viongozi wengine.

    Nafikiri katika kipindi hiki cha kampeni Michuzi umepost picha zaida ya mbili zikimwonyesha Kikwete anakiongoe na ndugu zetu walemavu. JK hana haja ya kusikiliza matatito ya kila mlemavu mmoja mmoja.

    Kunatakiwa kuwe na sera imara ya kuangalia masilahi ya watu walemavu. Nchi hii ina walemavu wengi sana na sio wote wataweza kupata nafasi ya kuonana na rais wa nchi ili wamweeleze shida zao binafsi. Walemavu wanatikwa wawe na sera yao ambayo itaeleza jinsi ya kuwasaidia ili kuwapunguzia hali ngumu ya maisha.

    ReplyDelete
  2. Nafurah kuwa mmoja kati ya waliokuwepo. Ni chachu kubwa na fikra mpya kwa kizazi hiki kilicho njia panda. Hongera

    ReplyDelete
  3. Hii kampeni inaenda kwa mtindo wa kuwa mtu wa watu. Bush junior aliingia Ikulu kwa gia hiyo hiyo.

    ReplyDelete
  4. Michuzi kama reporter hana kosa. Kama watu wanatumia kampeni kufanya sanaa na kuwabimiza wenzao mikenge yeye afanye nini? Sera ya taifa letu ni wahadae wakupe kura ule. Sioni haja ya kumsakama Michuzi ambaye naye anapata mradi wake kwa usanii huo huo. Usanii kuanzia juu hadi chini. Kosa la ankal hapa liko wapi?

    ReplyDelete
  5. Ralph NahatoOctober 20, 2010

    Full usanii kwa kwenda mbele kama kawaida....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...