Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Seth Kamuhanda(katikati) akiongea leo jijini Dar salaam na wafanyakazi wa Idara ya Habari (MAELEZO) juu ya mwenendo wa vyombo habari kuelekea uchaguzi Mkuu. Wengine ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari Clement Mshana(kushoto) na Mkurugenzi Msaidizi Raphael Hokororo(kulia)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Clement Mshana(kulia) akitoa ufafanuzi leo jijini Dar es salaam kwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Seth Kamuhanda(kushoto) juu ya ukarabati na uboreshaji unaoendelea katika jengo la Idara hiyo uliomalizika kwa awamu ya kwanza.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...