

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bado sijafika Zenj, kumbe stadium yao ni sawa na uwanja wa mpira wa wilaya ya Bumbuli, duh makubwa hayo, ndo maana sherif ananadi sera za kujenga kakiwanja ka kisasa, mpeni kura basi abadilishe huo uwanja wa Bumbuli.
ReplyDeleteOk bora usifike maana nyie huko ndio kwanza Juzi mmepata uwanja wakati wenzenu wana uwanja wa maana tu siku nyingi.Kabla ya uwanja wa NESHINO kulikua na uwanja gani wenye majukwaa upande mmoja tu!!! Ushike adabu yako!!!! SAFARI HII UWANJA WA NDEGE WA TAIFA UTAHAMIA ZENJI MAANA KILA KITU CHA TAIFA KIPO BARA..
ReplyDeleteNaona uwanja huo kwa bara unaweza kuulinganisha na ule wa Karume, sijui mashabiki elfu thelethini kama unaweza chukua. Nashauri mjenge kama ule wa Majimaji-Songea au Alhasan Mwinyi-Tabora itavutia wengi kuingia vinginevyo unavyoonekana inanipa wasiwasi kama nitapata nafasi ya kukaa, naona kama kuna mistari si zaidi ya kumi kwenye safu ya mzunguko
ReplyDelete