Waziri wa Miundombinu, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mthamni Mwandamizi wa Wilaya ya Kinondoni, Einhard Chidaga, wakati alipokuwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Ubungo Maziwa, inayotokea Kigogo, wakati wa ziara hiyo iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam, wakati huo huo Waziri huyo ametoa siku tano kwa Meneja wa Mkoa kubomoa ofisi yake iliyopo Ubungo, ili iwe mfano kwa raia wengine wanaotakiwa kupitiwa na zoezi hilo la ubomoaji ili kupisha upanuzi wa Barabara na mradi wa Magari yaendayo kasi. Picha na mdau Muhidin Sufian.
Home
Unlabelled
dkt john pombe magufuli awasha moto dar leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hivi magari yaendayo kasi ni nini???au ni nchi gani duniani inayatumia??
ReplyDeleteTO BE HONESTY MIMI SIIPENDI CCM, ILA KAMA ITAMSIMAMISHA MAGUFULI KUGOMBEA URAIS 2015 KURA YANGU AMEIPATA BILA KIPINGAMIZI.
ReplyDeletenadhani ni mabasi yaendayo kasi BRT( BUS RAPID TRANSIT) mabasi ya DAR yatajulikanan kama DART, ( DAR ES SA LAAM RAPID TRANSIT) yanaitwa mabasi yaendayo kasi sio kwa sabbau ya mwendo wake wa kasi au HIGH SPEED, ni kwa sababu yanakua na barabara yake BRT LANE , Ambayo magari mengine hayataruhusiwa kupita katika lane hiyo, hivyo kuyafanya mabasi hayo kutokua na folenina kuwa ya haraka.
ReplyDeletekwa kujifunza zaidi tembelea hapa
http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=1191319
http://www.chinapage.com/transportation/brt/bjbrt.html
http://thecityfix.com/wp-content/uploads/2008/05/lagos4.jpg
na hapa pia http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=430948&page=41