Miili ya vichanga 10 vilivyokutwa vimetupwa katika jalala kwenye nyumba moja iliyo jirani na makaburi ya Mwananyamala, na wanawake watatu wako mikononi mwa polisi kusaidia uchunguzi wa tukio hili la aina yake ambalo Mkuu wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Afande Charles Kenyela amethibitisha.
Pia Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh. Jordan Rugimbana naye amethibitisha tukio hilo na kuahidi kulitolea ufafanuzi ofisini kwake kesho saa sita kamili mchana. Pichani juu ni sehemu ya miili ya vichanga hao ambayo haikuweza kuoneshwa yote kwa sababu za kimaadili
Pia Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh. Jordan Rugimbana naye amethibitisha tukio hilo na kuahidi kulitolea ufafanuzi ofisini kwake kesho saa sita kamili mchana. Pichani juu ni sehemu ya miili ya vichanga hao ambayo haikuweza kuoneshwa yote kwa sababu za kimaadili
Na hamu ya kukoment lakini sina cha kukoment kwa mshangao! nimeshtuka
ReplyDeleteItabidi tufafanue upya 'AMANI' na 'UPENDO' tuliyonayo WaTanzania ni ipi. Maana hii imekaa 'kishirikina'
ReplyDeleteKuna video kule MichuziJr kuna mchizi anasimulia.. tembelea..
nimeumwa na tumbo la uzazi kwa hili jambo. eeh Mungu, ni nini hiki jamani binadamu wako wanafanya??
ReplyDelete