Beki wa timu ya Atletico Paranaense,Bruno Costa De Souza akijaribu kuondoa hatari iliyokuwa ikielekea langoni kwake katika mechi iliyochezwa jioni hii dhidi timu ya Simba ya jijini Dar,ndani ya uwanja wa Taifa.hadi mwisho wa mchezo matokeo yalikuwa ni Simba 1-1 Atletico Paranaense.
Mshambuliaji wa timu ya Atletico Paranaense,Gabriel Lima De Oliveira akijaribu kumtoka Rashid Gumbo wa Simba katika mpambano uliomalizika jioni katika uwanja wa Taifa jijini Dar.
Mshambuliaji wa timu ya Atletico Paranaense,Gabriel Lima De Oliveira akitafuta namna ya kutoka kipa wa Simba,Juma Kaseja.




hii mechi imechezwa siku 2 tofauti au ni vipi? mbona naona jezi tofauti tofauti timu ya atletiko!!!
ReplyDeleteDah! kweli Simba ni kiboko yaani Yebo yebo walikung'utwa goli mbili bila lakini mfalme wa porini a.k.a wekundu wa msimbazi wamekomaa na kutoka droo.
ReplyDeleteKweli Simba ni wanaume,Yanga mdebwedo kudadadekiiii Simba oyeeeeeeeeeee.
uncle..mambo vipi?? tunashukuru kwa kutuletea habari mbali mbali kutoka hapo nyumbani..kwa sisi tulioko mbali na nyumbani..tunafurahi tunaposoma habari za nyumbani kupitia global yako..!!sasa kwanini hutuandikii kwa kirefu na list za wachezaji wa timu zote walizocheza..!
ReplyDeleteNi hayo tu kwa leo..usiku mwema
double d
Yanga walifungwa 3-2 sio 2-0.
ReplyDeleteilikuwaje jana mbona naona kama jezi za wabrazil mara nyekundu mara nyeupe?au walikuwa wanaonyesha mitindo?
ReplyDeleteSimba wanatisha.Wametoka sare na timu mbili za Brazil kwa dakika tisini wakati watani zetu walifyata mkia dakika tisini kwa kucheza na timu mojawapo tu. Je, wagekipiga na tumu zote mbili ingekuwaje?
ReplyDeleteNi ujinga kusifia draw na timu ya tatu ya Brazil.
ReplyDelete