Nguzo ya umeme ikiwa imeinama karibu na kuangia chini ,sambamba na nyaya zake zikiwazimeshuka hadi chini na kutuama juu ya kibanda cha kupumzikia watu ,hali inayohatarisha usalama wa wakazi wa Mtaa wa Lumemo, Mjini Ifakara ambapo wananachi wa eneo hilo wanadai kuwa ni miezi mitatu imepita bila wahusika kuhukua hatua za kurekebisha hali hiyo ,kama ilivyokutwa juzi eneo hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...