Home
Unlabelled
JK arejea toka ivory coast
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Karibu nyumbani mkuu... Lakini nauliza, je hii protocol ya kuwa na wapambe kumkaribisha mheshimiwa kila anapotoka safarini haujapitwa na wakati?
ReplyDeleteTukumbuke, huko barabarani kuna ishu kubwa sana ya foleni kila kona, nyingine husababishwa na mipango ya kuwakimbiza maofisa kwenye mapokezi kama haya wakati sidhani kama yanaongeza kitu chochote cha muhimu katika uongozi ila kero nyingi tu kwa watumiaji wa barabara
Naweza kutoa tu mfano mzuri ambao unaweza kutumika... Pawe na maongezi mafupi tu na waandishi wa habari kutufahamisha matokeo muhimu ya safari uliyoifanya, viongozi wengine hapo watakuwa kazini kuendeleza ujenzi wa taifa.
Karibu mkuu...
Mimi nafikiri haya mapokezi yangeweza kufanyika Ikulu itakua rahisi zaidi kwa viongozi husika kufika na kushiriki.
ReplyDelete