Home
Unlabelled
kikwangua anga cha tanesco chapigwa sop sop
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jengo hata liwe safi vipi kama wananchi hatupati huduma ya nishati halina maana yoyote kwa wananchi kwanza tunavyoliona linatupa hasira usilete picha kama hii again!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteSasa Ankal kule juu mgahawa??? naomba utuulizie ! au holi la arusi ??? tujue maana nakaribia kufunga pingu !
ReplyDeleteKinapendeza Nje ila Tabia zake ni Chafuuuuuuuuuuuuuu Tanesco jirekebisheniiiii!!!!! Dah NYama na Samaki washaozaaaa kwenye Friza. MZ.
ReplyDeletebasi na umeme upendeze kiasi hicho du!
ReplyDeleteSidhani kama ni sahihi sana kuliita jengo la ghorofa nne 'kikwangua anga' (skyscraper).
ReplyDeleteSIS WANANCHI TUNAILAUMU TANESKO WAKATI SISI WENYEWE NDIO TUNAILEA.."MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO"
ReplyDeletetungeomba na uzuri wa jengo uendane na tabia za wafanyakazi mungu ibariki africa mungu ibariki tanzania
ReplyDeleteJengo zuri wakati umeme hakuna haina maana. Sana sana inaongeza hasira tuu kwa wananchi.
ReplyDelete