Wake wa viongozi wakiabidhi misaada kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mabomu Gongo la Mboto kwa kaimu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Sadik. Shoto ni wake wa makamu wa rais Mama Asha Bilali na Mama Zakhia Bilali pamoja na mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu pinda. Kulia ni kamanda kanda malumu ya kipolisi ya Dar es salaam afande Suleimani Kova misada hiyo imekabidhiwa leo katika kituo kilichopo Gongo la Mboto picha na Chris Mfinanga
Home
Unlabelled
wake wa viongozi wawafariji waathirika wa mabomu Gongo la mboto
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...