


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Unene!! Unene!!Matumbo hayo!!!? Jamani wakati umefika wa kuielimisha jamii kuwa overweight & obesity ni tatizo. Waliosoma ndo kwanza wanabobea kwa kunenepa bongo ili mbaya. halafu wanakwepa kula vyakula organic-vilivyozalishwa na mkulima nchini. This is the next Bomb linalosubiri kulipuka in Tz. Magonjwa ya moyo, visukari nk vitaigharimu sana nchi in the future hasa ukizingatia umasikini na uchumi mbovu wa nchi. Nyerere alihimizi watu wafanye mgambo angalau. But now I don't know kama serikali inaongelea hili au ina mkakati wowote. SORRY ni tatizo hili.
ReplyDeletewewe mdau hapo juu acha watu wanenepe tatizo liko wapi < magonjwa yote yanatibika sikuizi kwa BABU . au wewe hujui .
ReplyDeletebongofleva wanashinda kwenye mashindano ya kutoa misaada tu... oyeeee!
ReplyDeleteduhh.madundo kishaukwaa u profesa??big up sana madundo.nakumbuka aliwahi kuipiga simba goli 2 miaka ya tisini.wakati huo akichezea reli ya moro,"kiboko ya vigogo "
ReplyDelete