KWANINI VIJANA TANZANIA WANAPOTEZA MUDA KUANGALIA MECHI ZA ULAYA KWENYE TV SIKU HIZI??

Wabongo kwa mpira wa ulaya! (wanajigongagonga) kumbuka miaka iliyopita hamna mtanzania aliyejua Arsenal or Manchester.
Sasa yaani hata walala hoi wanajua orodha,malipo ya wachezaji,familia zao za soccer team nyingi ulaya.
Kumbuka huu ni uchafu mtupu. Soma vitabu, focus na mambo ambayo yatakuletea maendeleo.
Wewe umekaa kwenye chumba cha kupanga ilala au iringa unazungumizia Manchster or Arsenal..Liverpool???

KWANZA ELEWA, HIZO TIMU, WACHEZAJI NA WASHABIKI WA ULAYA HAWATAKI KABISA KUWA NA NIGGERS, WATU WEUSI (WAAFRICA) KUSHABIBIKIA TIMU ZAO.

Najua hutaweka hii comment lakini naomba (please) uweke kwenye Blogu Posti watu tujadili hili jipu.(Freedom of press)

Yaaani, inasikitisha vijana wa TANZANIA wanapoteza muda wao mwingi sana kwenye mambo ya mipira ya ulaya.
Nchi yetu masikini na familia zako ziko kwenye hali duni.
Leo unakaa bar au chini ya mti masaa 6 au 7 eti unangalia Liverpool..
Dowans, Epa, Radar , maji hakuna wewe unafocus kuangalia mpira..??
Akili zako ziko wapi? Umelogwa nini?
Vijana wengi wekua wapumbafu sana , yaani total salvage.. Dead man walking. Sorry Kimarekani kimejitokeza.
Sisi wabeba maboksi wa Marekani tunasikitishwa sana na hii tabia. Kila tukija vacation Bongo , basi kila mtu na jersey ya mpira. Eti yeye ni mshabiki.
Kijana anauza chips kwenye kibanda anashangilia sana.. Tumeshinda Tumeshinda.. ehe.. Wameshinda wao sio wewe.
Jamani waelimishe hawa vijana waache uvivu na wapate kazi tatu sio moja.
Uza chips, Kata nywele,fanya ulinzi, sio kuangalia TV.
Watanzania wengi bado washamba wa TV.
Kupumbuka, watu wa manchester au Germany hawana Tatizo la Dowans, maji au kazi kama wewe mlala hoi bongo.
Wakiumwa mara moja ambulance inafika nyumbani. Waache wao wawe washibiki wa timu zao.
Focus on the reality.. You are poor and need to work on making it!
Barua kutoka kwa wabeba Maboksi Marekani.
Wadau please Comment

MKURUGENZI WA WABEBA MABOKSI
CALIFORNIA MAREKANI
PLEASE DON'T PUBLISH MY EMAIL ADDRESS.
THANKS

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 81 mpaka sasa

  1. this guy sound like a crazy and am sure he is a real box picker in us because he is uneducated!!! Unataka kusema walahoi hawana haki ya kujua soccer ya nje au nigger hawana haki yha kujua soccer ya nje, kwani we nani na si umekimbia kwenu kutokana na umaskini na kuja marekani. Premier league is the best league in the world na kila mtu ana haki ya kuiangalia kama wewe ulivyosema freedom of choice.

    ReplyDelete
  2. For someone who lives abroad you are totally stupid. Michezo nI njia moja ya kuwaunganisha watu na kupoteza mawazo kuhusu matatizo yanyokabili nchi,unadhani watu wakiacha kuangalia michezo Tanzania itapata maendeleo ama? Ligi ya uingereza na mpira wa ulaya unavutia sana,why not watch it?ndio maana team zinakuwa na fan zones world wide.,kwahiyo unataka kusema pia watu wasiwe wanaangalia na kushangilia kombe la dunia kisa Tanzania ina shida ama?did u see how people were united in the 2010 worldcup? Na kama unaishi marekani unaelewa jinisi watu walivyo na passion na basketball,baseball na other sports..so na wao ni wajinga ama? NI WATU KAMA NYIE AMBAO MNA AKILI FINYU NDIO MNARUDISHA MAENDELEO NYUMA,YOU THE MOST IGNORANT PERSON EVER.

    ReplyDelete
  3. Wewe sidhani hata kama unaishi USA,you cant have such a poor vision.watching games is a hobby something engaged primary for pleasure,kwa hiyo bila ya kujali kipato cha mtu,its best option for everyone,na naamini upo aware kuwa hii kwa Bongo ni kama alternative ya social activities,kwa hiyo inasaidia kuwaweka mbali vijana na mambo ya kihuni drug abuse,gangs activities including thiefs and unsafe sex.
    Ujinga unaosababishwa na viongozi wetu,usiwahusishe na watu kutoangalia mpira,wache watu aleast wafurahie maisha.
    NOTE:hutuwakilishi watu wa California,NYAUBA!

    ReplyDelete
  4. mmi naishi california.na sijaona mwehu asiyekuwa na akili kama huyu mtu.kwani unafikiri mtanzania kule nyumbani atafanya nini hata kama EPA,DOWANs inathulumu nchi,wakubwa ndo wameshika nchi,waache vijana waenjoy.kama wewe huwezi kulipa cable hapo kwako na kunejoy nyamaza,nenda kapige box.tena kwanin wewe usirudi basi,ukarekebishe???sio kelele na kupoteza muda wako.
    MCHUZI USIWE UNAWEKA POST ZA KI......E. tunakuheshimu ndugu yangu.
    mdau california.

    ReplyDelete
  5. Mimi nasema huyu jamaa na point kubwa. Kwasababu hii issue ya watanzania kuangalia mipira ya ulaya ina affect sana hata kazi. Mimi nikiwa serikalini naona sana hili jambo. Watu TRA wanaongea mpira wa jana liverpool katika saa za kazi.Wananchi hawapati huduma yoyote.
    Kuhusu Mtanzania kujifunza Premier League ya ulaya .. Hapo tutakuwa tuna ruka steps.
    Watanzania wengi hali zao ni duni, lazima wawe wanajishughulisha na maendeleo na sio mambo ya kuangalia mpira.

    Hii topic Kali SANA.. NAOMBA michuzi uiweke kwa week zima kwenye front page yako.
    Vijana lazima wapate huu ujumbe.
    Leo Jumapili mimi tayari naelekea kazini na nipo TRA na sio private business.
    Vijana wengi wa Tanzania ni wavivu wa kutupa. Kazi ni kutaka rushwa basi. Fanyeni kazi achana na mpira wa ulaya.
    Miaka 5 iliyopita watu walikua hata hawajui Liverpool ni nini.
    Why is this a priority to a poor Tanzanian?
    Tanzanians need better healthcare, education and jobs.
    We can't achieve that if we are watching arsenal for 5 hours a day.

    ReplyDelete
  6. Box picker??? lol That comment made me laugh. Believe me, there's no Tanzanians in USA picking up boxes.if they do its for a lot of money compared to your stupid salary in Tanzania. The person who made that comment shows how poor his/her though process is and its exactly who the article taking about.
    You need to learn more and read books.. achana na mpira.
    If you like soccer, there's soccer teams in your country.
    I am a white irish man in Tanzania and I was amazed to see so many Tanzanian love Europe soccer than their own.
    Most people in Uk don't even like to see blacks in the seats.
    Tanzanians need to focus on the problems at home and not soccer in UK.
    Ciao

    ReplyDelete
  7. Michuzi mdau wa Texas hapa.. This guy is brain dead, he doesn't not speak on behalf of Tanzania reside in state nor in Cali. The guy is a whack job. You can tell from his writing kwamba ni uneducated, empty mind and he deserve kutukanwa.

    Nani kakwambia masikini hawataki kuangalia mipira. I cant blame him any further anakaa state ya Liberal American ambao wako mstari wa mbele kuwaambia watu what to do. USA leo Obama katangaza kumchapa Libya lakini mbona wengine tunaangalia March Madness basketball kuanzia asubuhi mpaka sasa midnight, jee we're stupid? No sababu tumeamua kuishi hvyo, likewise watu walio home nao wameamua kuishi bila kushiriki kwenye mchakato wa serikali.

    Michuzi wajinga wajinga kama hawa ambao wamekuja usa kwa either scholarship za kanisa/misikiti ndio wanatuletea taabu huku.

    Mlio home please furaieni kile mnachoona ni furaha kwenu, kama unapenda kwenda kibisa nenda, kama unapenda kwenda msondo nenda, kushangilia simba sawa Man utd sawa..... achaneni na mgonjwa huyu.

    ReplyDelete
  8. Get a life! kabebe maboksi umlipe Uncle Sam faida inaonekana hujaenda shule huna tofauti na wauza chips unaowasema. Just another hypocrite trying to sound educated.

    ReplyDelete
  9. We jina nasikitika kukutaarifu kwamba umekurupuka na hoja yako haina mashiko. jaribu kufikiri wapi tulikotoka na tulipo sasa, na jiulize kwa nini hivi sasa premier league, la liga na league zingine zinasaundi sana sasa kuliko wakati ule. hebu tazama nafasi za media na techolojia ktk soka la hivi sasa. Hata wakati ule ambao Luninga hazikuwa nyingi miaka ya 80 na 90 wacheza na soka la ulaya havikujulkana?. kwanza huu umaskini na matatizo mbalimbali kama hayo yameanza leo? lakini maisha yanaenda. kama hayo maboksi yanakuchanganya ni bora ukae kimya kuliko kukurupa na hoja zisizo na mashiko na hicho kingereza chako cha kuiga. nchi hiyo uliyopo imejengwa na wenye moyo na sio kukimbia kama ulivyofanya na kuwa mkimbiza hapo ulipo. Eti kuishi kwako Marekani unadiliki kuwaita vijana wetu wapumbavu na washamba wa TV. Sorry for ur blind minded view. you need to work on how think and how to think correct. Stay tuned. Uncle sorry kama nimechafua jiografia

    ReplyDelete
  10. wewe unayejiita mbeba box tuondolee frustration zako za kubeba box sawa...kama unawakilisha mawazo ya hao wabeba box pia wape pole kwa uzumbukuku wenu mlio nao. Mbona wewe hujishangai kukimbia nchi yako na kuja kuogesha wazee huku wakati ukiwa kwenu hata kumuosha mikono mzazi wako aliyekuleta duniani unaona kero? Inaonesha hujaenda TZ muda mrefu pengine hata makarasi huna...hivi kila mtu akiuza chips, kila mtu akawa mlinzi, na kila mtu akakata nywele nani atakua mteja? unaonekana unaangalia matatizo ya Tanzania kwa kutumia lens ya Marekani na matokeo yake utapata majibu tofauti ni sawa na kutumia kipimo cha malaria kupima virusi vya mafua. Wazo linaweza kuwa na mashiko lakini umetumia lugha ya kilei sana (layman language)na kutia shombo mawazo ambayo ungetaka kuyawasilisha hapa.
    watu tuna shule zetu na bado tunaangalia soka ya Uingereza kutoka huku Marekani na tumeanza ushabiki wakati hata live TV zikiwa anasa. Acha mawazo mgando wewe.
    Go home and get a life...ungeweka email yako hapa ungejuuta....

    ReplyDelete
  11. Mdau ametumia haki yake kutoa maoni. Ni wazi kwamba hajawahi kujaribu kucheza mpira huyo. Mdau amekubali walalahoi wapo bongo wanahangaika wanakaanga chipsi. Sasa baada ya kufanya kazi nzito kwa nini mtu asiburudike kwa kuangalia mechi za soka ya popote duniani? Hao hao wadau wanaoangalia mechi za Bwawa la Maini ndio mashabiki wa Simba na Yanga na ndio mashabiki wakuu wa Taifa Stars. Ni haki yao kuburudika kwa namna watakayo mradi hawavunji sheria.
    Suala la kuangalia soka ya nje ni la kimataifa. Juzi juzi Xavi Hernandez alinukuliwa akisema kwamba anamwona mchezaji wa kiungo Paul Scholes wa Uingereza kama kiungo aliyetimia. Maneno mazito sana haya kutoka kwa mtu anayeaminika ndiye kiungo bora duniani kwa sasa, ambaye anacheza na mchezaji mwingine anayeaminika kuwa kiungo bora duniani Andres Iniesta. Mhispania huyo, lakini anaangalia soka ya Uingereza. Watu wa kila kona ya dunia wanadai wanasoka bora duniani kwa sasa ni Cristiano Ronaldo na Leo Messi.
    Mdau akumbuke kwamba hata soka ni ajira. Wachezaji wa bongo kama Nizar Khalfan wanacheza soka kwenye ligi ya MLS. Watanzania tusimwangalie mwenzetu akituwakilisha kimataifa kwa vile kura zetu zilichakachuliwa?????

    ReplyDelete
  12. Huyu jamaa ana point lakini naona amezidiza kuita watu wapumbafu.. Kweli tunaangalia soccer sana bongo kiasi inaharibu kazi. Mimi nipo wizara ya ardhi na naona sana vijana wapo kwenye magari au ofisini kazi kubishana soccer.
    Haikua hivyo zamani

    ReplyDelete
  13. Evelyn "o-so-scared-of-tsunami-in-NorCal"March 20, 2011

    Everything's good, in MODERATION! Y'all just need to find that balance, know when to do what and for how long!

    *Stupid is such a strong word
    **"Everything" does not include Mary Jane and allies

    ReplyDelete
  14. huyo kichwa maji !!! sasa yeye anataka tuwe tunaongelea DOWANS,NA MAFISADI ??? vichwa vyetu vitapasuka na tutakufa mapema , mimi kama kijana mtanzania na ninayeishi tanzania na ninaangalia soka kama kawa , kwanza inanisaidia kupunguza matatizo na mawazo na pili inaniepusha na kufanya usherati na mambo sio mazuri ....

    inaelekea wewe mtoa mada akili zako hazina akili

    ReplyDelete
  15. mapunda (Songea Tanzania)March 20, 2011

    brother michuzi hapa sitii neno ila weka post zenye akili kama za akinamshaka na Dr shayo. makala yake ya leo ni poa na sio uchafu kama huu ati watu wasiangalie mpira! wasiwe washabiki! jamani watu hasa hawa wabeba maboxi hamjifunzi? kwa nini msiwaige akina dr Shayo? kuwepo kwenu nje ni uzoefu tosha wa kutufungua macho siye wengine ambao hatukupata hiyo nafasi.

    ReplyDelete
  16. Jaman Wa tz hatupendi kuambiwa ukweli, ukweli unauma. Ni kweli michezo ni sehemu ya maisha na hujenga afya lakini ni kwa kipimo, watu wanazidisha. Utaona kazini wengine badala ya kuhudumia wateja wapo na mazungumzo ya ushabiki tu wa mpira. Kila kitu kinahitaji kiasi ukizidisha inakuwa kero. Ni maoni yake na yana uhalisia ndio maana wengu mmeguswa na kuona mmeonewa. Lakini haina budi kuimeza dawa japo ni chungu. Kama wewe ni mpenda maendeleo yako na ya taifa lako badilika.

    ReplyDelete
  17. HI NI ATHARI ZA UKOLONI MAMBOLEO ! WATU TUMESHIDWA JITAMBUA SISI NI NANI ! NA SASA TUNATHAMINI VYA WENZETU KUPITA KIASI,NI SAWA NA MTU KUDHARAU WATOTO WAKE KUWA HAWAFANYI VIZURI KWENYE FANI MBALIMBALI NA KUSHABIKIA WA WENZIE BADALA YA KUKAA CHINI NA KUWAANDA WAKO ILI NAO WAWE MAHIRI ! SAWA KUPENDA VYA WENGINE SI VIBAYA LKN JAMII IMEPOTEZA MWELEKEO KABISA UTAWASIKIA WATU OHH JANA NUSU TUFUNGWE ! EBO ! WEYE UMESHAKUWA WA HUKO ? JITAMBUWE WEWE MDANGANYIKA EPUPUKA UKOLONI !

    ReplyDelete
  18. Naona mdau alikuwa na ujumbe mzuri lakini lugha aliyotumia na mpangilio wa mawazo haukuwa sahihi. Najua anataka kuwahamasisha watanzania kufanya kazi kwa bidii na kuacha uvivu na kupoteza muda bila sababu za msingi.

    ReplyDelete
  19. huyuu jamaa ni mpumbavu sijapata kuona may be he is crazy i dont think sound man can speak likly kwani kuangaklia mpira kunahusiana nini na maendeleo ya nchi.kwani miaka ya nyuma nchi ilikua na maendeleo gani mpaka unasema kuangalia mpira wa ulaya kunarudisha nyuma maendeleo ya nchikwanini uingereza na spain au itali zisiwe nyuma kimaendeleo kwa wananchi wake kuangalia mpira? wee jamaa naona ni shoga wewe sizani kama uko normal...uncle michuzi post kama hiz usiweke watu wengi wanatuharibia siku....eti uko carifornia,,,carlifornia gani hauna hata vission yoyote....sio siri huyu jamaa kanikera,ningekujua ningeweza kakapiga hata viba unahitaji upelekwe milembe wewe sio bule....maana hujui umuhimu wa michezo katika maisha ya mwanadam................mpumbavu wewe watanzania sio masikini ....serikari ndo masikini na sidhani kama umasikin wa nchi unatokana na wananchi wake kwa kuangalia mpira...........

    ReplyDelete
  20. jamaa ana point kiasi,mie niko simba mdogo wangu mdogo anakupangia vikosi vya man,asenal bila kukosea mwambie cha msimbazi anaishia kaseja
    tupende na vyetu.kuangalia soka la ulaya sawa lakini isiwe hiivyo kama swala unaacha ishu za muhimu kisa man,kenya kuna jamaaa alijiua kisa arsenal,wenger hajawahi hata kulia

    ReplyDelete
  21. Huyu jamaa kwa kiasi kikubwa anasema ukweli...baadhi ya watu mnatoa maoni kwa sababu tu mmeguswa kwa namna moja ama nyingine kiushabiki wa mpira....vijana na wasio vijana haki ya kuangalia mpira mnayo ila muwe na uzalendo pia na nchi yenu kwa kila eneo,sio kulewa na ya wenzenu kupita kiasi....unamkuta mtu mpaka kulia kisa MAN U....mbona hamguswi hata na TAIFA STARS !!!!!! Ukweli utabakia hapoooo tu.....

    ReplyDelete
  22. I think this guy need a help together with the guy who claim to be Irish leaving in TZ. A normal TZ man/woman has got no power on dowans or tanesco whatsoever, this things are over our heads thats why people are enjoying football as their pastime.
    The football in tanzania is more political than sports game, so i cant see why should people get involved with the team that are runs by politics idea. Pia kuhusu huyo mu Irish anaedai waingereza hawapendi kuona mweusi kwenye seat Viwanjani tunaomba atueleze kwanini kuna Irish pub all over the UK kama wao watakiwa kwenye jamii ya kiingereza. kama weusi hawatakiwi kwenye seat ajue na wa Irish hawatakiwi hata kwenye vilabu vya pombe ndo maana waliamua kuwa na vilabu (pub) zao. So guys lets enjoy our interests no matter is football or ngwasuma.

    ReplyDelete
  23. Nataka nimwambie huyu jamaa wa mabox utafiti wake una mapungufu ya kutosha.Ukweli ni kwamba sisi hapa home hatuishi kwa presha ya ajabu sana pamoja na matatizo tuliyonayo ambayo tunajua msingi wake.Kuangalia mpira ni jambo jema mno na ukweli ni kwamba kila mtu anajua wajua wake kwa sababu mwishoni mwa siku lazima ule,uvae ulipe pango na mahitaji mengine.Kuna watu wao sio wapenzi wa mpira na ninaomba radhi kama wameunga mkono hilo lakini wawapo maofisini au hata njiani mda wote wapo na "ponograph site kwenye simu zao au hata makompyuta ya Afisini.jamani sio kosa kushabikia na kuwa wadau wa mpira wa ulaya ndio dunia yetu.kama wao wanabeza hilo kazi kwao sisi hatuna shida.Amen

    ReplyDelete
  24. nchini kwetu tumeendelea mimi nilisafiri kwenda kijijini mbali sana.nikakutana na wanakijiji wale wenyeji wangu walikuwa wanajua nimetoka wapi kijijini kuna seterait dish uwezi kuwaeleza habari za man united au ligi ya ulaya kwa sababu wanaangalia ni maendeleo.kama unapiga box usifikiri upo ulaya au usa na nyumbani tumeendelea ndio maana kuna wawekezaji rudi tanzania ujione una maana

    ReplyDelete
  25. Sifikiri ni busara kutumia matusi na jaziba katika kuchangia mada. Ni lazima tuheshimu mawazo ya mtu. Ni lazima pia tufahamu kuwa utu wa mtu mmoja unatenganishwa na wa mwingine katika utofauti wa mawazo.Kimsingi mimi napenda sana mpira, hata nikiona watoto wanacheza chandimu mchangani huwa nasimama na kuangalia. Anachozungumza mtoa mada ni ulimbukeni uliopitiliza, kuhusu soka la ulaya.Pia ikumbukwe upenzi wa mpira ni suala la saikolpjia tu, wala huwezi kufa ukipunguza kufikiri na kutumia muda mwingi kuzungumzia soka la ulaya wakati uko kazini, hii inapunguza tija. Jamani tutazame mpira na pia tusisahau majukumu yetu yanayotupatia mkate wa kila siku.

    ReplyDelete
  26. Huyu jamaa amezungumza mambo ya msingi sana. Isipokuwa ameyazungumza wakati akiwa na hasira/jazba na hiyo imeifanya hoja yake kupungua nguvu. Ingawa ukweli utabakia kwamba kushabikia timu za Uingereza/Hispania/Ulaya ni utindifu wa akili.

    Watu wa Ulaya wanapenda timu kutokana na mahusiano na timu "social connection" na timu unayoishabikia. Muingereza kwa mfano ataishabikia Manchester United kamav amezaliwa Manchester, au Familia yake imetokea manchester lakini yeye akazaliwa sehemu nyingine. Mtu yoyote ambaye anaishabikia timu isiyomuhusu huwa wanamuita "armchair fan" au "glory hunter". Hizi timu zina wenyewe na wenye timu zao wana historia madhubuti sana na Timu zao. Kwa mfano, tuchukulie timu kama Glasgow Celtic Football Club. Watu wa Ireland walihama Ireland miaka ya 1840 kukimbia ukame ulioitwa "potato famine" na kuhamia uingereza. Wa-Irish ni wakatoliki na waingereza ni walutheri(protestants). Kwa sababu za ubaguzi wa kidini wa wakati huo, wa-irish wakawa na wakati mgumu sana na wakawa masikini sana ndani ya Uingereza. Ili kupandisha morali wa jamii yao, kuwa na vyombo vya kusaidiana ndiyo wakaanzisha timu ya mpira, Glasgow Celtic tunayoijua leo. Wa-irish wale walioendelea kuhamia sehemu zingine, wakaanzisha Boston Celtic(Basketball) na Blomfotein celtic (South african football team). Hali kadhalika, timu kama manchester united na liverpool zina historia zao ambazo kwa njia moja au nyingine zinafanana sana na historia ya Celtic.
    Ndiyo maana leo hii ukisema unashabikia manchester united, washabiki halali wa manchester united watakuuliza, "what is your social connection with man utd"? Hakuna mtanzania hata mmoja anayeweza kulijibu swali hilo, isipokuwa tuu watanzania waliozaliwa manchester.

    Kwa ufupi, hizi timu zina wenyewe na kujipendekeza hakutokufanya na wewe uwe umo.


    DAR-ES-SALAAM YOUNG AFRICAN (YANGA) IN CARDIFF, UK.

    ReplyDelete
  27. Apa cha msingi ni kweli Inatakiwa kwanza tuonyeshe uzalendo kuanzia maskani halafu ndo tunavuka mipaka, lakini, kuweka uzalendo kwa soccer la Nje kuliko la kwetu tunaonyesha ni jinsi gani tulivyo wazaifu. Pia vijana, wanawake kwa wanume bongo wengi wao wanabweteka sana, watu hawako na moyo wakujituma, na pia kuwawabunifu, wengi sana wanaishi maisha ya kubahatisha au maisha ya kupiga mizinga.....sasa haya maisha mpaka lini wandugu.....hawa jamaa wanaoitwa wabeba ma box nawapongeza sana mchango wao ni mkubwa.....maana ukiangalia idadi ya watu wanaochondoa mkwanja western Union kila siku ni kubwa, na hiyo yote ni (WBB BX) Wa BeBa BoX. so big up 4that majita, Cha Msingi wabongo tujitume na tuwe wabunifu kwa sana.

    ReplyDelete
  28. wewe sidhani kama ni mbeba boksi kweli, inaonyesha uliiba TV kwenu ili ufike huko ulipo,sidhani kama ni kweli USA.wote tumekaa nje,na tunaendelea kukaa nje..ni mtu gani asiyependa kufurahisha moyo wake(leisure time)nilipoanza kusoma nilijua unamalizia kwa kuongelea soccer yetu bongo, kutoa maoni ili watu wapende soka ya bongo, kumbe unaongea upumbavu kuliko maelezo.hivi unajua kama hayo matenga ya nyanya na kabichi( narudia wewe sio toka USA,kwani tuliokaa huko aslimia kubwa tunapenda soka,na tulikuwa tunafuatilia),nahisi wewe utakuwa ni wa magengeni tena sokoni vingunguti,ningekutukana lakini naogopa sheria itanikamata.pia inaonyesha hata ulipokuwa mdogo hukuwahi hata kupenda michezo achilia mbali soka...nina swali kwako, hivi unamjua hata yule mchezaji anayekaa golini kwenye timu husika? hukawii kumuita "HOUSE KEEPER".mwisho unayo haki ya kutoa mchango wako.asante kwa kutujulisha kuwa wewe ndio kubwa la wapumbavu(guys,sorry for my language).
    Mohsein
    canada!

    ReplyDelete
  29. Mdau umetoa HOJA ya nguvu na HOJA ya ukweli,hajaongelea mliotoroka nchi yenu na kupiga kelele kijinga huko USA,siwatofautishi na dada zetu wanatoroka Singida au Iringa kwenda kufanya kazi za nyumbani Dar.HOJA ya msingi anasisitiza kupiga kazi ikibidi zaidi ya moja,wabongo tunapenda starehe kuliko kazi.Dar na miji mingine ina Bar na Groceries nyingi kuliko nyumba za huduma muhimu kama shule,zahanati.Dar kila anaetaka kuwekeza anaangalia Bar or Grocery,namwongelea mwekezaji mdogo.Bongo kinywaji ni sehemu ya maisha yetu..hata bajeti ya nchi inategemea Breweries na TCC nchi gani hii.Tanzania ni nchi yetu,ugonjwa uliojitokeza kwetu hatujadili hoja za msingi tunajadili matukio yasiyo na msingi..ukitaka kujua waafrika(Hasa weusi akili zetu soma CAPITALIST NIGER).Tunatakiwa tujadili maisha miaka 50 ijayo siyo mechi ya Man na Arsenal watakusaidia nini wewe zaidi ya kupunguza akili zako amka mtanzania.

    ReplyDelete
  30. wewe sidhani kama ni mbeba boksi kweli, inaonyesha uliiba TV kwenu ili ufike huko ulipo,sidhani kama ni kweli USA.wote tumekaa nje,na tunaendelea kukaa nje..ni mtu gani asiyependa kufurahisha moyo wake(leisure time)nilipoanza kusoma nilijua unamalizia kwa kuongelea soccer yetu bongo, kutoa maoni ili watu wapende soka ya bongo, kumbe unaongea upumbavu kuliko maelezo.hivi unajua kama hayo matenga ya nyanya na kabichi( narudia wewe sio toka USA,kwani tuliokaa huko aslimia kubwa tunapenda soka,na tulikuwa tunafuatilia),nahisi wewe utakuwa ni wa magengeni tena sokoni vingunguti,ningekutukana lakini naogopa sheria itanikamata.pia inaonyesha hata ulipokuwa mdogo hukuwahi hata kupenda michezo achilia mbali soka...nina swali kwako, hivi unamjua hata yule mchezaji anayekaa golini kwenye timu husika? hukawii kumuita "HOUSE KEEPER".mwisho unayo haki ya kutoa mchango wako.asante kwa kutujulisha kuwa wewe ndio kubwa la wapumbavu(guys,sorry for my language).
    Mohsein
    canada!

    ReplyDelete
  31. Kaka ni kweli kabisa sasa wabongo na uvivu wao wamepata agenda ya kuongelea,kila mtu mwenye nguvu ya kufanya kazi anakwambia amekesha akiangalia mechi hivyo anaomba akapumzike kidogo saa nne hiyo asubuhi kisha baadaye atakupiga kizinga..maisha gani haya jamani,Mungu ametupa kila kitu,mito,ardhi safi,amani ila nahisi katupa akili finyu,hata vijijini ni mashabiki wa Man U,sisikitiki kwa hili ila nahisi tunapalilia mizizi ya Ukoloni,kwani kwa sasa tuko tayari kutoa kila kitu ikitokea timu ya Uingeleza au Hispania ili tuione kuliko wabongo,najua mtasema kiwango lakini jiulize kiwango kilitoka wapi?mbinguni?au kuna watu walikaa na kuwekeza!sio kwamba hayo tunayoyaona kwenye luninga kuhusu timu za Ulaya hayawezekani ila kinachohitajika ni kujituma na kuwajibika na siyo kutolea macho vitu vya nje.Hebu fikilia kuhusu China,walijifungia zaidi ya miongo mitano na sasa wanaitikisa Dunia karibu kila kitu,SIRI KUBWA tuchape kazi na sio kupiga fiksi.Bongo hapa tunafanya kazi masaa nane,tunalewa masaa nane!wapi na wapi!tuchape kazi Bwana tuache ushabiki wa kijinga Man nini Bwana unawajua wewe?wizi mtupu watu wenyewe unawaona kupitia mgao wa umeme.

    ReplyDelete
  32. Wewe mkurungenzi wa wabeba box usa ndio stupid kwani unatoa maoni bila kufikilia. unasema muuza chips anangalia mpira akiwa kazini kwake kinyozi anaangalia mpira kiwa kazini na hiyo yote nikufurahisha wateja wake sasa tatizo lipo wapi? na hiyo dawans mimi muuza chips nitaianzia wapi wakati mambo hayo yapo juu kabisa na ukitaka hivyo basi starehe ni nyingi sio kuaangalia liverpool tu wangine wanapenda sinema wangine muziki wangine wanacheza bao sasa na hao unawashauri nini?

    ReplyDelete
  33. Mnaposhabikia timu za nje MNALIPWA KIASI gani?

    Badala ya kukaa na kubuni mambo ya maendeleo, mjipatie fedha, mjenge nyumba zenu, mpate elimu bora HATA YA ULAYA, mnakaa kushabikia SOKA huku MFUKONI hakuna kitu! Mmeambiwa ukweli, mnasema aliyesema HANA AKILI? DUH!

    Mmepotea.

    Habari ndiyo hiyo! Ukweli ndio huo! Nitasema ukweli Daima. Ninamwunga mkono Mbeba Boksi!

    ReplyDelete
  34. uncle michuzi mimi ni mdau nipo ukraine nasoma,nimeona hii mada na umuhimu wake katika jamii, kwa upande wangu huyo jamaa aliyesema kwamba mpira unachangia umasikini nyumbani amekosea kabisa, n akuna watu wanasema mtu anakaa masaa5 anaangalia mpira je kuna match gani inayochezwa kwa masaa5? na je kama ni suala la kazi kuna mpira gani unachezwa masaa ya kazi? kama si weekend tuu. huyu jamaa anahitaji kuchambua jambo kabla ya kulipeleka kwa jamii,on the otherhand hii iwe changamoto kwa wale ambao wanapiga soga maofisini na kuacha kufanya kazi hawa watu kweli wanakosea lakini sidhani kama kuna mabosi wanaona hali hii na kuifumbia macho haiingii akilini kabisa. kuhusu kushabikia timu za nje ya nchi, jamani si lazima uwe socially connected na hizo timu kama mdau fulani alivyosema huko juu, wengine wanapenda jinsi wachezaji walivyo na kipaji cha kucheza mpira na si kwa sababu eti ni timu ya uingereza,hispani au germany.mwisho napenda kutoa ushauri kwa wale ambao wanatakiwa kuwa sehemu fulani kufanya kitu kwa ajili ya maendeleo yake binafsi au familia au jamii yake na kukaa kuangalia mpira ANAKOSEA SANA, ila kama mpira unachezwa na upo free kwa nini usiangalie, mi naona hakuan tatizo katika hili LIFE IS MEANT TO BE ENJOYED.....

    ReplyDelete
  35. Yanga pia ina wenyewe pia hata Simba sports club au Cosmopolitan nashangaa watu nje ya Mzizima wanashabikia timu yetu ya jijini.
    Mdau
    Kanda-Mbili

    ReplyDelete
  36. Mimi niko UK hapa nasoma sijapata muda wa kwenda kuona mechi hata moja, sababu niko busy. Nikienda likizo bongo updates zote za ligi ya UK napata kwa marafiki zangu, ambao wao wanakuwa na taariza zaidi kuliko mimi (hata habari za mahusiano ya kimapenzi ya wachezi, umri wao, wanalipwa kiasi gani, nk)! Bosi wa FIFA Sep Blatter alipokuwa anahojiwa wakati wa kukabidhi tuzo za wachezaji bora kwa 2010, alisema ligi ya UK (Premier) si nzuri kuliko nyingine kama Spain, isipokuwa tu ni "most marketed." Katika kikosi cha dunia cha FIFA cha 2010 HAKUNA MCHEZAJI HATA MMOJA WA UK!" Watanzania wamekuwa hooked kwenye ligi ya UK sababu ya "SUCCESSFUL MARKETING." Matokeo ya darasa la saba, kidato cha nne, cha sita na hata chuo kikuu Tanzania yanazidi kudidimia, vijana wengi wanatumia muda mwingi kwenye kuangalia mechi usiku, nk. Premier League oyeeeeeee....tuburudike tu mpaka kieleweke....!!

    ReplyDelete
  37. @MATANGALU your concept of social connection to a football club is a joke, do you listen to any of the sports radios here in UK, say talksport for example, most of the callers kwenye vipindi wanaeleza kuhusu timu wanazozishangilia na hawaishi maeneo timu zilipo, so your argument about social connection is not realistic even here in England. The comment from the Irish living in Tanzania is absolute rubbish, I am currently living here in UK and I have never experienced or heard anything about people hating to see blacks in the seats. Get a life you racist retard. Lastly, watanzania angalieni mpira kama burudani kwa kuwa hauna uhusiano na matatizo ya kimaendeleo.

    Comment from a true Tanzanian in UK.

    ReplyDelete
  38. Michuzi hii mada ni sawa na kisu kimefika kny mfupa,nafikiri kufika kesho kama utaiacha hapa juu itakuwa na comment nyingi na za ajabu, napenda mada kama hizi kwani zinanipa kujua upeo na mawazo ya watu mbalimbali,ingawa siwezi kutoka na majibu sahihi kwa kuwa sijui kiwango cha uelewa wa mambo, umri nk wa wachangiaji.Wakatabahu

    ReplyDelete
  39. hUYU MTU YEYE KAKURUPUKA KWANI TUSIPOANGALIA HUO MPIRA NDO UCHUMI UTAKUA KM UMASKINI HUU NI WAKWETU TUNAMIAKA AROBAINI TOKA TUMEPATA UHURU MPKA LEO BADO NI MASIKINI WA KUTUPA LEO UNASEMA WATU WAKAE CHINI WAJADILI DOWN THEN IKISHA MADA TUNAJADILI NINI WW MWENDAWAIMU BEBA MABOKSI YAKO WACHA WATU WATAZAME SOKA WAPOTEZE MAWAZO YA UGUMU WA MAISHA HUNA JIPYA UMEKALIA MAJUNGU TUU WE UMESHAKUWA MTUMWA WA HAO WHITE UNAOWAKATAA SASA SIJUI UNATUMIAMBIA NINI KM HUWAPENDI RUDI NYUMBANI NJOO SHIKA JEMBE LIMA KWANI BALI UTAIPATA SHAMBANI

    ReplyDelete
  40. white irish man in tanzania, dont even say a word coz ur from a poor country tooo and i dont even knw watchu doin in tanzania??? How can a human concerntrate with work all the time without havin extra time for a leisure???? Do u guys play soccer in irish or u jus killin each other everyday though ur too close to one of the reachest countries in europe n ur still poor like hell!!! Observation is one of the ways of learning f u dont knw tht bro or sis n out people in tanzania are learning something from watchin premier league....

    ReplyDelete
  41. Anayosema mdau ni kweli. Mimi mwenyewe napoteza masaa manne kila siku kusoma habari za liverpool. Jumamosi na jumapili napoteza masaa kumi kuangalia soka na kujadili yaliotokea. Muda wote huo ningefanya ibada basi ningekuwa karibu na pepo. Muda huo ninaoupoteza ningefuga kuku basi ningekuwa nimeshatajirika. Moja ya hila wanazozitumia Europe ni kutokuhabarisha mambo ya wengine na kukuza mambo yao ya ndani. Nafikiri sasa wakati umefika vyombo vyetu vya habari kuachana na habari za nchi nyengine na kutuhabarisha zetu za ndani. Hii mbinu inatumiwa hata na wanataaluma ambao hukuza machapisho yao tu.

    ReplyDelete
  42. MSHAMBA mwenyewe napenda kushabikia soka la nje tena kwa sana haina maana najigonga.Kitu kinachofanya nishabikie soka la nje kusema ukweli hawa jamaa wanajua kwa kweli unaangalia mpira hadi roho inasuuzika.Babu sasa hivi kuna kitu kinaitwa utandawazi kwahiyo kuna tofauti kubwa kati ya zamani na ulimwengu wa sasa na hata hiyo zamani unayosema wewe watu walikuwa wanashabikia timu za nje vile vile na timu zao zilikuwa LEEDS,SHEFIELD UTD,NEWCASTLE,LIVERPOOL nk,na Timu za nyumbani zilikuwa zinapendwa pia.Mbona hukuongezea kwenye posti yako "kwanini TANZANIA wanashabikia sana SIMBA na YANGA tu hata huko mikoani wakati kuna vilabu vingine vingi tu haPA TZ" Napenda soka la nje na nitaendelea kujigonga.Hizo TV ndio zinazowapa moyo vijana wanaochipukia sasa hivi wanaona kumbe inawezekana kuchezea klabu kubwa za ULAYA wanawaona waafrika wenzao kama DROGBA,YAYA TOURE,MENSAH,ASAMOAH GIYANI,UCHE,KEITA,MBIA,na wengineo wengi wanacheza soka la kulipwa.Huoni raha NIZAR KHALFAN nae anatuwakilisha nae anapiga soka la kulipwa na timu anayochezea VANCOUVER WHITE CAPS imeibanjua TORONTO FC 4-2 usiku wa kuamkia leo.Na wewe unayejiita mu_IRISH usitutanie wewe MBONGO tu.

    ReplyDelete
  43. Cha msingi ni Kujenga viwanja vingine kama vitatu na kutengenza program nzuri ya TV
    Mfumo wa ligi uwe kwenye awamu mbili.
    1 .Michezo ya awali kwa timu zote nchi nzima
    2 .Timu zitakazofudhu kuingia kwenye SUPER ligi na kuonyeshwa mechi zao zote na mechi ziwe kwenye viwanja vyenye ubora Kama ulivyo uwanja wa Taifa sasa.
    1 .Kiwanja cha taifa Dar es salaam -- Tayari
    2. Kitengenezwe kiwanja chenye uwezo wa kubeba watu 30,000 Zanzibar
    3. ´´´´´´´´´´´ kiwaja chenye uwezo wa kubeba watu 40;000 Arusha
    4.´´´´´´´´´´´´´ kiwanja chenye uwezo wa kubeba watu 40,000 Mbeya
    5.´´´´´´´´´´´´´ kiwanja chenye uwezo wa kubeba watu 50,000 Mwanza.
    Kwa mfumo huu tunaweza kupata washabiki kutoka nchi za jirani pia program za mechi kwenye Tv zitapendwa na wananchi wote pamoja na nchi zilizotuzunguka kama Kenya ,Zambia ,Uganda N.K
    Mapato ya viingilio vya mechi yataongezeka ,program ya TV itakuwa na watazamaji wengi.

    ReplyDelete
  44. Aaaah naombeni sana mumsamehe mtoa maada kwa sababu zifuatazo

    (A) Anaonekana hata si mpenzi na michezo kabisa
    (B) Amekosa kumbukumbu na anachoongea, coz Liverpool, Manchester na clubs zingine zilikuwepo tu hata kabla ya kuendelea sana kwa utandawazi Tanzania. Siku hizi kuna fursa za kuweza kufikia habari kiurahisi na hata kuona mipira tofauti na zamani hata simba na yanga tulikuwa tunajazana redioni upotevu wa muda ni ule ule mtoa maada.
    (C)Michezo ni muhimu sana kwa afya ya binadamu kaka, na kwa washabiki nikiwemo mimi kwangu mpira ni zaidi ya starehe, mbona huzungumzii music,kucheza bao, kukaa vilabuni vya pombe iwe kienyeji au beer za kawaida. Unadhani watu hawapotezi muda? huwezi fanya kazi 24 bila kupumzika au kujiburudisha na k2 ukipendacho, sisi tunapenda mpira ila am sure nawe una k2 wakipenda either pombe,au watumia muda mwingi hata kufatilia vibinti au kukaa kwenye social network au computer games au chochote na kama haupo hivyo utakuwa na tatizo akilini au mwilini mwako.
    (D)Kuhusisha michezo na matatizo ya kiuchumi kwa kisingizio cha upotevu wa muda upo wrong sana.Hivi kaka mbeba maboksi,kuangalia mpira kunasababishwa au hata kuhusishwa na EPA,DOWANS,RICHMOND NA MENGINEYO.Tufanye tusiangalie mipira je dakika 90 au ongeza hata 180 zitasaidia EPA NA DOWANS KUWA in RIGHT WAY?kila k2 kipo katika dhamana yake kaka, kuangalia mipira tena kuna faida zaidi,wachezaji we2 wanajifunza mengi pia toka kwa wachezaji wa nje nasi pia tunakuwa na uwezo hata wa kukosoa madudu wayafanyayo wachezaji wetu, haya ni maendeleo kama maendeleo katika sector zingine kaka.
    (E) kAKA inawezekana una lengo zuri ila kufikisha ndo tatizo lako, na watu hawatakosea kama wakikuuita ant-social wengine watakuita mbumbumbu,wengine watakuita poyoyo,wengine watakuita mkurupukaji, wengine watakuita mwehu, wengine watakuita mvivu wa kufikiri ili mradi kila mtu akufikishie kasoro zako. Mimi nisingependa kukuhukumu ila ushauri tu kuwa makini na upembuzi yakinifu unapotoa hoja bila kuweka mbele lawama
    Ushauri kwa wengineo, jamaa alikuwa ana point nzuri tu ya kuhimiza vijana wa Tanzania wafanye kazi kwa bidii na kufikiria zaidi maendeleo binafsi na nchi kwa ujumla japo alishindwa kufikisha ujumbe inavyotakiwa so tumsamehe tu coz kila mtu anakosea na pia kaka kama huoni kama umepoteza basi kuna tatizo kidogo. Hoja yaja kama wewe mkurugenzi wa kubeba maboki umefikiri hivyo je wabeba maboksi wa kawaida wanafikiri vp, ni hatari sana kama tutakuwa na watu wanaofikiri hivyo kwenye jamii zetu nahisi tutakuwa zaidi ya communist society.
    asanteni

    ReplyDelete
  45. Nafkiri mtoa mada hajaeleweka vizur, alichodhamiria ni kutukumbusha kwamba badala ya kutumia muda mwingi kwenye ishu moja ie. soka tutumie muda wetu mwingi kufikiria namna ya kuondokana na socio economic and political problems zinazo likabili taifa letu leo. Dowans ni mfano tu wa ishu ambayo imeipelekea taifa kuwa gizan kwa mda mrefu sasa na pia imeathiri hata uzalishaji.
    Vilevile mtoa hoja amejaribu kutoa na strategies za namna ya kukabiliana na changamoto ya umaskin wa kipato kwa kuwa na diversified sources of income(kuwa na vyanzo mbalimbali vya mapato)ndo maana akasema kama ww unakaanga chips, fungua pia na salun, fungua na kiosk n.k.
    Huu ni ushaur wa bure kwa vijana na watu wengine wengi ambao wamejikita zaid kwenye kujua leo mchezaji gani anachezea tim gan na kwa vip badala ya kujua yeye baada ya miaka 10 ijayo atakuwa amepiga hatua kias gani ktk kujiendeleza yy mwenyewe na nchi yake.
    Asante sana mtoa mada kwa kuwakumbusha watanzania wajibu wao kama raia wema.
    Ukweli umeusema na mwenye akili amekuelewa ulichokuwa umedhamiria tukipate, japo lugha uliyotumia kidogo ilikuwa ni kali mno na hvo wengi wao kutokukuelewa.
    Siku zote unapoamua kuwa mkweli usitegemee kupendwa na walio wengi kwani siku zote Wa Tz tunapenda uongo, hatutaki kuelezwa ukweli.Tunapenda kuishi kinafiki zaidi kuliko hali halisi.

    BIG UP MBEBA MABOX

    ReplyDelete
  46. Huyu mtoa mada nahisi ameshindwa tu kuwasilisha mawazo yake vizuri, kwa nionavyo hata huko US anakokaa wavivu hawakosi, ila kwa kuwa serikali yao imewaandalia mazingira mazuri, sera nzuri wanajikuta wana choices nyingi. Kuangalia mpira ni fani tu kama fani nyingine. Si kila mtanzania anashabikia mpira, hata Ulaya na kwingineko si kila mtu anashabikia mpira. Mimi mwenyewe si mshabiki wa mpira kiivyo ila inaniuma sana nchi yangu inaposhindwa hata kuchukua kombe la Kagame...(mfano tu), vile vile inaniuma sana km nchi yangu inakuwa nyuma kimaendeleo lakini nitafanyeje, yote ni mipango ya serikali na wananchi kujituma. Maendeleo hayaji kwa usiku mmoja, miaka 5 iliyopita Tanzania haikuwa hapa ilipo, kwa hiyo tunahitaji kufanya kazi na kuwa na subira. Haijalishi tu mashabiki wa mechi za ulaya au Afrika ila tunapaswa tufanye kazi huku tukiwa na subira. Bwana Mbeba mabox ukija Tz utashangaa Tz si ile uliyoiacha miaka 5 iliyopita. Cha msingi serikali yetu ikiwa bora na kuweka sera nzuri na kupunguza matatizo makuu ya kitaifa km ukosefu wa umeme, meaji, huduma za kijamii, barabara, masoko nk, utakuta nchi na wanachi wanapata maendeleo. Hebu jaribu kuwa na long term vision utaona Tanzania inapata maendeleo makubwa hasa kama uongozi mzuri unakuwepo. Ila cha msingi Watz wajitume kufanya kazi, ushabiki wa mpira au michezo ni sehemu ya maisha tu, uvivu ni sehemu ya baadhi ya watu wala si wote. Pia waliofanikiwa si wote ni baadhi, na mafanikio bado yanakuja kwa watu wengine pia ukiwemo wewe mbeba maboksi wa California. Chapa kazi kijana!

    ReplyDelete
  47. #### Nyote mliomtukana mwenzenu njinga nadhani nyinyi ndio kumpita yeye. mnadhani amezungumza ujinga lakini amesema maneno yenye akili. Mimi binafsi nimefanya uchunguzi wangu familia nyingi zimeharibika kutokana na huu mpira. Ni kweli michezo ni sehemu ya kuondoa mawazo lakini sio kwa kiasi kikubwa mpaka utendaji wa kazi unapdhoofika. Akli inahama moja kwa moja. Ila baada ya miaka michache inayokuja maduka ya kamari yatakuja Tanzania na sijui mtawezaje kulihimili kwa hilo maana ni janga kubwa kulikoni hata madawa ya kulevya!!!~~~~~

    ReplyDelete
  48. Mdau wa sunday march 20, 3:30pm

    Kujua kusoma ni kitu kimoja, kuelewa kilichoandikwa ni kitu kingine kabisa. MATANGALU amesema bayana kwamba, mzungu anayeshabikia Manchester United ni lazima atakuwa aidha amezaliwa Manchester, au katika familia yao wametokea manchester. Sikusema kwamba mzungu anayeshabikia Man United ni lazima awe anaishi Manchester. Mimi binafsi ni mshabiki wa Yanga lakini siishi dar-es-salaam. Nashabikia Yanga kwa sababu nimezaliwa Dar-es-salaam, na nina historia na Yanga.

    Kwenye talk sport au radio five live, huwa hawaulizi swali la "kwanini unapenda timu fulani". Mtu anaweza kuwa amezaliwa Wigan lakini anaishi Dublin, ndo maana anapopiga simu atasema kwamba yeye ni mshabiki wa wigan athletic na anapiga simu kutoka Dublin.
    Au nakuomba utafute maana ya neno "glory hunter" kisha uje hapa utueleze lina maana gani na limetokana na nini.

    DAR-ES-SALAAM YOUNG AFRICAN (YANGA) in CARDIFF, UK

    ReplyDelete
  49. Duniani kuna mambo ya ajabu na kuna watu wa ajabu vile vile, lakini pia kuna watu wenye akili na wanazitumia kufikiri sawa sawa na kuna watu wana akili lakini hawazitumii kufikiri wamezipa mapumziko.
    Huyu alieleta hii maada kwanza naomba tumsamehe kwani ndo kizazi cha watu wetu kilivyo, kuna watu wakitoka nje ya nchi wanajiona watu ndo kila kitu na kuona wenzao hawana haki ya kushabikia kitu wanachokipenda na kutaka kudominate ideas hobbies za wenzao. Huyu mimi nimekosa neno zuri la kutumia kumwelezea kwani kila neno lililonijia kichwani niliona ni jepesi mno anahitaji maneno makali zaidi.
    Huyu nadhani anatumia MAVI kufikiri badala ya ubongo...
    Mpeni pole jamani..

    ReplyDelete
  50. naangalia mpira nafanya kazi,natoa kodi ambao hainisaidii hata kidogo, sioni inatumika vipi, nikienda polisi bado naombwa hela, nikitoka kazini sina sehemu za kukaa na familia zangu, yaani kama vile re creational parks, i can't walk my kids safely around my home, coz no pedestrians ways,i am so frustrated in this country i do no know what else to do after work, i do brilliant job at work get promoted, still i talk, i play, i watch football, i love football, i love sports,the matter of facts yes, priorities is most important thing and people needs to learn, when and what to do, when is the right time to do what? napenda sana mpira kazi yangu sio kuongelea dowans, kazi yangu sio kuandaa mashindano ya sports, na kazi ingine ambao naifanya vizzuri naowahudimia wanafurahi, mwajiri wangu anafurahi, na kodi nalipa, cha ajabu sasa anaesimamia kodi yangu ifanye kazi yake hayuko makini, nikapiga kura kumuajibisha hatoki, nini sasa mi nifanye kuleta mabadiliko? niandamane kama misri, nani yuko tayari kunifuata? waache watanzania waangalie mpira, angalia kwa undani maisha ya marekani na kodi za kazi zako tatu ndio utajua Tofauti, na wewe urudi ufanye kazi elimu kama ulitumia muda wako vizuri huko njoo nyumbani, ni wajibu wetu wote kufanya kazi hapa na kulipa kodi njoo uanzishe hao mazungumzo ya dowans, tuko tyari kukufuata, sio tuletee mabadiliko alafu wewe tu kunufaika nao, njoo tufanye kazi wote aksante

    ReplyDelete
  51. @MATANGALU
    I got your point there, ila si kweli kwamba mashabiki wote hapa UK wana uhusiano na mahali timu zinatoka, I am living here down south and have met many people who support clubs in the north, glory hunter/seeker ni ubunifu wa mashabiki wa timu zisizo na support beyond their locality. Mpira ni burudani tu hakuna uhusiano na maendeleo kama mtoa mada anavyotaka tuamini cha msingi watu kufanya kazi na sisi tulio nje turudi kujenga taifa letu instead of picking up boxes in Europe or US. God bless Tanzania.

    ReplyDelete
  52. When looking at artistic work, one should know the philosophy behind it. Otherwise you will be just looking at it and convince yourself you understand it. It is so sad...

    ReplyDelete
  53. Huyu bwana anapoint lakini ametumia jazba.Ni kweli wengi wanapoteza muda kuangalia,na kushabiki timu za nje.wana nunua uniform kwa bei kubwa na kulipia cable kila mwezi wakati mahitaji muhimu yanawashinda.
    Ushabiki wao unawagharimu bila kujua.Ila kama wanachukulia kama ni kiburudisho baada ya kazi sawa.

    ReplyDelete
  54. kwali nimeamini ukweli unauma daima huyu aliyeleta hii mada namuunga mkono kabisa nashanga baaadhi ya watu wanamponda ndio kila mtu ana uhuru wa kufanya kila kitu anachopenda alimradi tu havunji sheria lakini kila kitu inatakiwa mtu afanye kwa kiasi ni ukweli uliyo wazi vijana wengi wa tz wanapenda kushabikia mastar wa nje na vitu wanavyofa pasipokuangalia huyo ushabiki unafaida gani kwao au inawasaidia nini wanaacha kufanya kazi itakayo waletea maendeleo yao niwavivu wakufanya kazi wanataka life ya shortcut posipo kujituma wenzetu wa nchi za nje watu wao wanajituma sana kwa kazi mtu ukipangiwa kazi unafanya haswa bila kutegea hata hiyo hela ukipata unapata kihalali utakuwa umeitolea jasho haswa kutokuwa namaendeleo tz pomoja na kuwa na viongozi wabovu wananchi wake niwavivu wakufanya kazi kila mtu antaka hela za haraka haraka bila kutolea jasho wanashabikia mastar wa nje ya bila kujua ya kwamba kufika hapo walipo wameanzia mbali mimi sio sababu ya kumshambulia huyu aliye leta mada bali tujitume kwa bidii ilituweze kuwa na maendeleo kuliko kila siku kulaumu serekali japo naye inamapungufu yake kitu cha kufanya tujitume na hicho kidogotulicho jaliwa nacho tujitahidi kukiboresha usizarau kipato chocho kinachokupatia riski bali ukiboreshe zaidi ni hayo

    ReplyDelete
  55. Cha muhimu vijana waelewe.. Vijana wengi Tanzania ni wavivu. Hata wale wasomi wenye kazi pia ni wavivu. Ndio maana huko hospitalini, bank, tra na hata wizarani lazima uhonge kupata uduma. ACHENI MAMBO YA ULAYA. WEWE KIJANA UMEKAA KWENYE NYUMBA YA KUPANGA NA CHOO CHA NYUMA UNASEMA MANCHESTER? ETI TUMESHINDA!! UMELOGWA KABISA.
    HUU NI UVIVU WA VIJANA WA TANZANIA..
    MIMI NI MWANAJESHI HAPA LUGALO..MICHUZI NAKWAMBIA SUBIRI TUU.

    Siku za karibuni tutaanza kuwachapa vijana bakora kama wanazurura au wanakaa bila kazi.
    Utakuta mtu katoka kazini saa 10 jioni, basi yeye hapo ndio basi. Anakwenda kuchapa beer mpaka saa 4 usiku.
    Sasa hapo ndio matatizo. Kwani huyu mtu ni msomi na angeweza kufanya kazi zaida akafungua hata biashara nyingine ambayo ingeajiri watu 5.
    Lakini yeye anajifikiria yeye na anapoteza muda kuangalia soka.

    Tatizo linatokea hapa, akilewa anachukea malaya kwa short time na anapata ukimwi. Akirudi nyumbani anampa mama.

    Jamani jamani.. hivi vitu vina mikosi.. Vijana chapeni Kazi.

    Nafikiri inabidi vijana wote wapitie jeshini kwasababu watu soft tu

    ReplyDelete
  56. We nyang'au boxi limekulevya HOJA YAKO IMEKAA KIKAHABA! na tunapoangalia sinema za kina rambo, vandamme james bond, kwani tunawajua ? ndiyo maana ya burdani....... kweli wee ni ZUZU MMOJA.

    man uuuu daima mbeleeeeeeeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  57. Kaka umechemka, kama wewe ni mwanamapinduzi njoo bongo uanzishe hizo harakati, wewe huko ni mtumwa ndio maana hupati muda wa kuangalia soka starehe pekee, au wewe starehe yako nini umalaya?????????????
    Muuza chipsi bongo ana tofauti gani na wewe mbeba maboksi au kwasababu wewe unageuza usiku ndio mchana, usione watu wamekaa wanaangalia soka ni kwa sababu wamejiwekea ratiba na kufanya shughuli zao kabla ya mechi kuanza. Kama muuza chipsi anaangalia soka masaa 24 umejuaje kama anauza chips. Ridhika na unachokipata kaka kinachokusumbua wewe ni kujilimbikizia mali ambazo ukifa unaziacha ndio maana unakosa muda wa kuangalia soka na kubeba maboksi 24 hrs.


    jojo

    ReplyDelete
  58. Japo uniweke pembeni Bw. Muhidin
    Wote nyinyi muliojigongagonga someni maoni ya MATANGALU. Matangalu amewasomesha! Mimi ninamalizia hivi: kushabikia timu za ulaya na kuvaa T-shirt zao ni ulimbukeni wetu waswahili, ndiyo maana hata siku moja hatutakuja kuwa na chetu. Hata hivyo kuna tofauti kati ya kufahamu kwa juu juu timu za nje kama za uingereza maana walitutawala na hayo ni makovu waliotuachia, lakini hili la kukomalia timu zao (ulaya) kama vile zinatuhusu ni umajinuni na kupungukiwa uzalendo. Hoja ya Bwana mbeba maboksi wa kule California Marekani ni nzuri tu. Yeye inawezekana amekaa nje kwa kipindi na anajuwa jinsi mtu mweusi katika nchi za weupe ni taka. Na anaona jinsi watu (vijana) wa nchi za weupe wanavyojivunia mambo yao na kuyatangaza. Anasikitika kuona vijana wa TZ hawavai T-shirt za timu za nyumbani. Kwa hiyo Bw. Maboksi akija na mgeni toka marekani basi huyo mgeni atadhani wako uingereza na sio TZ. Au mgeni atadhani TZ hakuna timu za mpira. Kwa hoja ya uwazi mtu mweusi ulaya hahitajiki, wengi wanaishi wafanyeje. Hawana sauti, hata ukiwa na cheo kikubwa kama cha nahihii wewe lazima uwe "YES MAN" ukijifanya na wewe unakichwa cha kufikili na unataka kuhoji jambo "WAFWA" Labda wengi wetu tuliotoa maoni kwa jazba tumefika ulaya lakini kwa matembezi au washa fupi na hatujawa wakazi wa huko, na kuuona wema wa mzungu akiwa ulaya. Ila tumeshuhudia wema wa mzungu akiwa TZ. Tukumbushane kuwa tunapodharau au kupuuzia timu za nyumbani basi hata sisi wenyewe tunakuwa na utengano yaani tunakosa umoja. kumbukeni kuwa timu ya mpira ilisaidia sana kuleta umoja kule TZ visiwani mpaka uhuru ukapatikana. kwa hiyo usiache punda wako kwa sababu umeona pickup. Ninaomba tuwe makini na kufikili kwa kina kabla ya kutoa maoni, maana maoni haya ni elimu. MKATAA KWAO NI MTUMWA. Asanteni.

    ReplyDelete
  59. Naona wabongo wameambiwa ukweli wanakuja juu. Mtoa mada ana pointi sana. Yaani wabongo kazi tunazofanya tija ni ndogo sana ila tunataka tujiliwaze kila siku. Sasa ndugu zangu mngekuwa mashabiki wa michezo mingine pia ingekuwaje? Maana mfano mimi ni shabiki wa tennis, cricket, formula1, volleyball, basket ball na baseball sasa ningekuwa nafuatilia vyote hivyo hata huyo mke wangu au watoto wangeniona kweli? Wengi mnafikiri muda mnaotumia kuangalia mpira ni free time yenu lakini elimu ya msingi inaposhuka mnailaumu serikali badala ya wewe kuchukua muda wako kukaa na kumfundisha mwanao/ ndugu yako unaangalia mpira. Je, kwa mapenzi yako ya mpira kuna juhudi zozote ulizofanya kuwa na timu za mpira mtaani kwako au kazini? au wewe upenzi wako ni wa kukaa kwenye stuli tu.
    Mimi hushangaa pale shoe shiner anapokuchambulia historia ya mchezaji au timu tangu miaka 15 nyuma with all the details sasa umahiri huu na uwezo wa research aliokuwa nao angeuwelekeza kwenye biashara yake si angekuwa mbali? Ukiingia ofisini baada ya mchezo wowote wa EPL basi masaa kadhaa yatapotezwa kwenye gumzo au kusearch internet, yaani hapo productive day inaanza saa nne. Nakumbuka kuna hata siku Rais wetu aliharakisha hotuba yake kwakua kuna mechi sasa kama tumefikia hapo na bado mnadhani ligi ya uingereza ni burudani tu then nasikitika kuwaarifu kwamba hio ndio sura mpya ya ukoloni.

    ReplyDelete
  60. BWANA MICHUZI HII MADA KALI.. YAANI HAPA NAOMBA ULIRUDISHE TOPIC FRONT PAGE. LAZIMA KIELEWEKE.. HUYU JAMAA KASEMA UKWELI MPAKA BASI TU. MIMI NAUZA CHIPS NA KAMA VILE ALINIONA.
    LEO NIMEANZA KAZI YA ULINZI NA KAMPUNI YA CHUI HAPA TOWN.
    SASA NIMEONGEZA KIPATO CHANGO MARA MBILI
    ASANTE MKURUGEZI WA WABEBA MABOKSI CALIFORNIA MAREKANI.

    ReplyDelete
  61. Mimi ni msichana ninayependa sana soka..nimesoma chuo cha mlimani pale dar es salaam na ninashabikia timu ya simba ya Dar es salaam na Man utd ya uingereza. Nimespecilize masomo yangu kwenye Politics na kwa hivi sasa nachukua Masters degree kwenye Global politica economy. Mimi naona ni vizuri sana kufanya starehe mtu aipendayo kama vile kutazama mpara popot duniani lakini ningependa kushauri sisi vijana wa kitanzania tutumie chance tunayoipata ku kukutana kwenye mikusanyiko mikubwa kama ya kutazama hizo mechi za ulaya au africa kwa kujadili matatizo yanayo tukabili..siku hizi ni zama za PEOPLES POWER, baada ya mpira kuisha tutumie chance kujadili yanayotukera kutoka kwenye hiyo serikali yetu and to know where to start kubadilisha our country's path. Arab league imetumia internet kupitia vijana..like WE ARE ALL KHALEED SAID facebook page please i urge vijana to visit this page and see how it brought revolution to EGYPT ..ALSo same for Tunisia and all arab world. NA sio kwamba eti hawa watu masikini hawana hata umeme au maji kama tulivyo watanzania..Nilitembelea Tunis Three wwks ago..hizi nchi zina hata fast train..na pia tramps( train za kutoka mfano wa kariakoo mpaka mwenge au sinza) Lakini waliona mapinduzi muhimu baada ya rushwa kuzidi..so hawa vijana wametumia chance wanazozipata kukutana pamoja either in disco..darasani..stareheni au mpirani..lakini WAtanzania tunamaliza kuangalia mechi instead tunatumia more hours kujadili kama lile goli lingeingia..ama kama leo asingeumia..and all..Mimi nadhani MAENDELEO YA NCHI YAPO MIKONONI MWETU JAMANI..gongo la mboto was a second mistake from jeshi la ulinzi ..first was Mbagala..Has anyone showed that tumechoshwa na kukerwa na kuwa tayari kufight for the rights??Ujerumani waziri wa MAmbo ya nje kajiuzuru last weeks just because imejulikana amedesa..amecheat kwenye PHD yake..LEO waziri wa ULinzi same person ana allow same problem to happen twice??and hata hafikirii kujiuzuru..huo ndio udikteta wenyewe..Nchi ambayo haijamwaga damu ni MASikini wa kutupwa..NChi zilozoo juu zote duniani zimemwaga damu kwanza..either through world war or so..RWANDA IS ONE OF THE FASTEST GROWING COUNTRY IN RECORDS RIGHT NOW WAKATI TULIKUWA NA WAKIMBIZI WENGI TU FROM RWANDA GENOCIDE LEO PESA YA RWANDA ITAPANDA NA TZ TUTABAKI HAPO..so ushauri tusitukanane kama hoja ni kali bali tutumie hii opportunity to say whats wrong and how to make it right..MPIRA GATHERING can bring changes to social and political affairs if used well.

    ReplyDelete
  62. Asalam Alaykum kama Michuzi,

    Unajua kama michuzi mimi ningemwelewa huyu mbeba maboksi kama msimamo wake ungekuwa kidini zaidi kwa sisi waislam kuliko alivoweka yeye. Angewakemea vijana wa kiislam wanaopitwa na swala za fardh ama kukosa kusoma Qur'an na kadhalika kwasababu ya kuangalia Man U, Arsenal, Chelsea, Bwawa la maini na kadhalika ningemwelewa sana tu ila kwa namna alivosema inamfanya aonekane kinyume na alivokusudia... Kuangalia mpira wa nje ama wa ndani hakuzidishi wala kupunguza makali ya maisha ya bongo....ukweli wa mambo tunaujua sisi wabongo tulioko huku bongoland!.....Muhimu ni vijana tuache uvivu and we try to balance everything (kazi na maisha yetu kwa ujumla pamoja starehe a.k.a hobbies) kweli mda unapotea kwenye kuangalia mechi but if we try to make a balance all will work out. I see nothing wrong in watching football; although one thing shud be stressed.....kushughulikia priorities kwanza kisha mengine yanafuatwa. Kila kitu kiwe na mda wa wake.....Halafu kaka michuzi ushauri wangu wa bure kwa huyo mbeba boksi kama yeye ni mbongo kweli aache kutukana wabongo wenzake!

    ReplyDelete
  63. Huyu atakuwa CHADEMA tu huyu!

    ReplyDelete
  64. Tembo dumeMarch 21, 2011

    Lagda tuu nieleze kwa ufupi matatizo yanayosababishwa na kupenda timu za nje. Unaponunua jezi ya manchester united, ile pesa inatoka Tanzania na inakwenda Manchester. Manchester United wanaongeza kipato chao, wanawekeza katika "community" yao, wanatengeneza ajira ndani ya Manchester na watu wanaoishi Manchester wanapata kazi, na wanaongeza utajiri wao. Watu wa Manchester wakipata kazi wanakuwa na uwezo wa kununua ticket za msimu, kununua kila jezi mpya, shuka analojifunika analinunua kutoka duka ma manchester united, kikombe anachokunywea chai kina nembo ya manchester united, credit card yake ni ya manchester united, pyjamas za watoto wake ni za manchester united, school bag za watoto wake ni za manchester united. Kwa ufupi pesa zao zinarundi manchester united, na manchester united as a club inatajirika zaidi na kuwekeza zaidi kwenye community zao, na kutengeneza ajira zaidi kwenye community zao. Pesa ikishaingia manchester, haioki manchester mpaka pale watakaponunua mchezaji kutoka nje ya nchi. Na wanajua mbinu za kuhakikisha kwamba kila pesa inayotoka nje ya manchester basi itarudi manchester. Kwa mfano, wakinunua mchezaji kutoka Korea, basi wanakuwa wameshajua watauza fulana ngapi Korea na watapata kiasi gani. Pesa yao inayoenda Korea ni lazima yote itarudi na faida kubwa tuu juu yake.
    Kwa kadiri manchester united inavyotajirika, ndivyo na watu wa manchester nao pia wanatajirika. Kisha utasikia..."NEWS BULLETIN... MANCHESTER UNITED DECLARED THE RICHEST FOOTBALL CLUB IN THE WORLD" na wale wenzangu na mie wa bongo wanasherehekea ...."eeeeh we are the richest club in the world".... wananunua fulana za manchester na kupeleka vijisenti vyao vidogo walivyo navyo manchester kumtajirisha tajiri. Mzunguko huu unajirudia tena na tena na tena.

    ReplyDelete
  65. Huyu Bwana ingawa kauli yake ina hisia kali amabazo zaweza kusababisha uvunjivu wa amani, lakini anasema ukweli. Wa bongo walio wengi ni wavivu na wanatumia muda mwingi katika mambo ambayo hayana msaada katika kuinua hali zao duni za maisha. Ni kweli michezo ni haki ya kila mtu lakini kwa nchi maskini kama Tanzania, kupoteza muda huo mwingi kwenye TV ni kuzidisha hali duni ya maisha. Sote tunajua kuwa CCM hiwezi kutukomboa isipokuwa ni sisi wenyewe na uwajibikaji wetu. Tuamke jamani. Nchi zilizoendela wana shabikia sana michezo, lakini wanaenda kazini na wanajikita katika ushabiki baada ya ujenzi wa taifa!!

    ReplyDelete
  66. kaazi kweli kweli waacheni vijana wa nyumbani wajifurahishe na maisha kwani hali ya maisha haijasababishwa na hao vijana bali ni tatizo sugu la serikali yetua walio juu ndio chanzo chote cha umasikini usiokuwa na kikomo kwenye taifa letu

    vingozi watotoa wao wanasoma ulaya wanasafiri holiday kwenda ulaya na wakirudi nyumbani wanatumia magari ya mamilioni ya feza na majumba ya kifahari na wanapata huduma zozote wanazozihitaji kwa muda muafaka bila kuambiwa wakae foleni wala wasubiri mgao

    vijana wenzetu wa kilalahoi maisha yao mashakani kula kwa shida kulala kwa shida elimu mgongano huduma za kijamii zinawapitia mbali kutokana na hali duni za maisha yao

    je ni wapi wakimbilie? wajitundike? jibu hapana
    je ni nini wafanye ? ujambazi? jibu hapana

    sababu hawana nafasi ya kusikilizwa vilio vyao serikalini ili waweze kusaidiwa kimaisha inabidi vijana wawe wavumilivu na kujaribu kujisahaulisha shida za na kujifurahisha kwa mambo tofauti yakiwemo ya kuangalia mpira nk.

    mdau wa mahakama kuu ya dunia.

    ReplyDelete
  67. Michezo burudani kizuri siku zote hupendwa. Kwa nini usijiulize wewe kwanza umekwenda US kubeba maboksi badala ya kukaa nyumbani kusaidia hayo uliyoyataja? Hiyo mipira ya Ulaya huwa inachezwa either weekend au usiku baada ya saa za kazi. Masuala ya maendeleo ya nchi ni ya kila mmoja sawa, lakini utakaemkuta anaangalia mpira basi ujue keshapata riziki yake kama si hivyo asingetuliza ball ku watch. Je wanaoingia uwanja wa Taifa kuanzia saa 7 mchana kutaka kuona mechi ya Simba na Yanga huisi nao wanapoteza time 4 nothing? Next time think something which makes sense ili watu wakijadili bro!!

    ReplyDelete
  68. kila kitu hapo ni utumbo tu hakuna hoja sijui hata nani kaomba huu uchafu kudishwa hapa

    mimi kilichonikera ni kusema hapa walala hoi wanajua orodha ya timu
    hivi michuzi ukuona kama hilo ni tusi kwa umma walala hoi ni neno linalowakisha watanzania wanaodhumiwa na serikali
    ingekuwa busara kama utafunga hii hoja kama una nia ya kutumana umma mr michuzi

    ReplyDelete
  69. Nashangaa wadau mnaongelea kupoteza MAWAZO!Binadamu unaongelea kupoteza mawazo are you dead!MASKINI nawaonea huruma watanzania wenzangu hamjui kuwa mawazo ni biashara wewe unatoa faida kwa kupoteza mawazo,kumbuka mwanaume hasifiwi kula anasifiwa kazi wewe unakaa baa kupoteza mawazo kisha unadaiwa kodi na mwenye nyumba...pole sana wabongo na akili finyu za kutaka kupoteza mawazo,kumbuka walioendelea hawakuwa tayari kupoteza mawazo,waliulia nayo wakatafakari na leo unaona matokeo yake.Unajua tatizo letu liko wazi wavivu wa kufikiria,wepesi wa kusikia wagumu wa kutafakali,na wachovu wa kusoma.Umesahau Newton alipoona tunda linadondoka,hakupuuzia wala kupoteza mawazo bali aliyafanyia kazi kaja na kanuni,sisi ubongo wetu umelala!kwa ufupi ubongo wetu bado bikra katika matumizi,matumizi makubwa ni kula,kunywa nakunya sorry
    Mdau
    Lufingo

    ReplyDelete
  70. Acha kukwepa ukweli wewe dawa ya ukweli ni kuukabili,watanzania walio wengi ni walala ho,umesahauvipi maeneo kama Msasani Bonde la Mpunga,Manzese,Mabatini na maeneo mengi..hao ndio wapenzi wakubwa wa timu hizo
    Michuzi usitoe hoja hii ni MUHIMU KWETU

    ReplyDelete
  71. kweli kabisa mdau japo wanakutukana ujumbe umefika mimi ni mtu ambae nimetembea na kuishi nchi nyingi sana duniani nafanya kazi na serikali ya saudi arabiya kitengo cha soko la mafuta kwahiyo nakuwa huku na huko tembeya yangu yote sijawahi kuona watu wanao penda kuiga mambo ya watu kama sisi watanzania siyo kwamba tunasema watu wasipende michezo hapana tuwe na wakati wa mambo hayo siyo kama sasa ambapo mtu ukichunguza hasa watu wengi wanaoshabikia mambo haya nikama hawajuwi wanafanya nini maishani

    ReplyDelete
  72. Mtoa mada ana pointi ila (samahani) analeta umatumbi kwenye mambo ya jamii. Hivi wewe (mtoa mada) unataka wadau wa Globu ya Jamii tufanyeje hasa katika muda wetu wa ziada??????????? Huna hoja bwana, acha watu tutanue. Mechi ya Simba na TP Mazembe yenyewe tumeoneshwa kipindi kimoja tu. Lakini umesikia wapi ligi ya UK ikawa na kwikwi??? (tafakari hahhaaaaahahahhahhaaa). Huna JIPYA WEYE!

    ReplyDelete
  73. duh kweli nimeamini ukweli unauma!

    ReplyDelete
  74. mada imekaa kichama zaidi

    ReplyDelete
  75. Kaka michuzi,hii mada nzuri na nimeipenda, lakini kuna kitu kimoja nilikuwa naomba hicho tujadili au tupeane mawazo.
    ILI TULIPENDE SOKA LETU NINI KIFANYIKE?
    Ili swali litasaidia sana viongozi wetu wa soka na wahusika kwa ujumla ktk kurekebisha soka letu na kurudisha mapenzi soka hapa kwetu.
    Sbb kama chako ni kibovu kwanini usiagalie cha mwenzio

    ReplyDelete
  76. WEWE NI MPUUZI TENA SANA..........KWANI WW UNAISHI HUKO NI KWENU?VITABU UNAVYOTAKA TUSOME VIMEANDIKWA NA NANI?HUNA AKILI TENA SANA...RUDI HUKU KWENU NDIO TUJADILI HAYO UNAYOYASEMA!KAVU MKUBWA

    ReplyDelete
  77. MKURUGENZI WA WABEBA MABOKSI CALIFORNIA.....!
    POLE SANA NDUGU YANGU. NIMESOMA HAJA KUBWA YAKO. BINAFSI NIMEWAHI KUFIKA FRANKFURT UJERUMANI (EIGHT DAYS) NA CAPE TOWN AFRIKA KUSINI (EIGHT DAYS) OOH NA NAIROBI KENYA (TWO DAYS). NIKIWA HUKO NILIONA TOFAUTI KATI YETU NA WENZETU. NAJUA WATANZANIA WANAOISHI UGHAIBUNI WANA TOFAUTI KUBWA YA KIMAWAZO NA KIMTAZAMO NA SISI HUKU BONGO...WENZETU WAMEPANUA SANA JOGRAFIA, UTAMADUNI,INTERESTS, LIVING STANDARD ETC (THEY HAVE EXTENDED EXPOSURE)....LAKINI HUYU BWANA MBEBA MABOKSI SIDHANI KAMA AMEIPATA HIYO EXPOSURE..YOU CAN TELL FROM WHAT HE TELLS!! UNASHANGAA MBONGO KUSHABIKIA MPIRA...UNATAKA MBONGO ASOME VITABU TU...HUTAKI MPANGAJI PALE ILALA APENDE MPIRA...UNASHANGAA KABISA KWA WATU MASKINI KUANGALIA MPIRA...UNATAKA MASKINI HAWA WATOE SULUHISHO LA DOWANS, EPA ETC AU WAONGELEE SIASA HIZO...ETI KWA KUTOKUFANYA HIVYO NI MAPUMBAFU..(DUUH WATANZANIA WENZAKO HAWA WAPUMBAVU..!)...UNATAKA WABONGO HAWA WAFANYE KAZI TATU NA SIO MOJA YAANI KAMA ULAYA NA MAREKANI AMBAPO KUNA KAZI ZA KUMWAGA..DUUH MAWAZO HAYA JAMANI!!...ETI MANCHESTER NA UJERUMANI HAWANA MATATIZO YA DOWANS, MAJI NDIO MAANA WANAANGALIA MPIRA..OOH POOR MINDED FRIEND!
    HAJA KUBWA YAKO IMEONYESHA HUIJUI HATA HISTORIA YA NCHI YAKO NA NCHI NYINGINE NYINGI ZA KIAFRIKA, SIJUI UMEKULIA WAPI LABDA UTUJIBU KWANZA HILI..UMEKULIA WAPI WEWE? MAANA HATA HUKO MAJUU SIO MUDA WOTE WANASOMA VITABU KWAMBA HAWANA SOCIAL LIFE. NA USIFIKIRI WAZUNGU WOTE WANASOMA VITABU TU LABDA KAMA UNAISHI TUNDUNI UMEJIFUNGIA NA VITABU TU...NA INAWEZEKANA UKO HIVYO KWA KUSOMA ULICHOANDIKA. NAKUSIHI USOME KITABU HOW EUROPE UNDERDEVELOPED AFRICA NA UTAJUA KWA UFASAHA KABISA KWANINI WATANZANIA HAWANA NAFASI YA KUFANYA KAZI TATU KWA MPIGO KAMA UNAVYOJINADI WEWE. NA UNGEJUA SIASA ZA AFRIKA UNGEJUA KUWA KWANINI WABONGO HAWANA MUDA WA KUKAA NA KUJADILI HIZO DOWANS ZAKO KAWSABABU HAZIWAPI NAFUU BADALA YAKE ZINAWAFANYA WAWE MACHIZI...NIKUULIZE SWALI WE MBEBA MABOKSI? USHAWAHI KUONA MAANDAMANO YA AMANI YANAUNGURUMISHWA NA RISASI ZA MOTO HUKO KWENYE MABOKSI? NJOO AFRIKA VACATION MOJA NA JICHANGANYE KTK MAANDAMANO YA AMANI UKIDHANI ETI ASKARI WANAKUJA NA NGAO ILI WAWASUKUME MUACHE MAANDAMANO KAMA HUKO MAJUU.. POOR YOU, THEY COME WITH KILLING BULLETS. KWAHIYO NDUGU YANGU KABLA HUJAANDIKA CHOCHOTE KAA CHINI FIKIRIA KWA MAKINI NA PENGINE UMSHUKURU MUNGU WAKO KWA KUKUPELEKA KTK NCHI AMBAYO WENYEWE WANACHAGUA KAZI ZA KUFANYA NA KUKUWEZESHA WEWE KUWEZA NDANI YA SIKU MOJA KUBEBA MABOKSI, KUOSHA MAGARI, KULEA WAZEE WA KIZUNGU, KUSAFISHA VYOMBO MIGAHAWANI, BABY SITTER, KUSOMA VITABU SABABU VIPO. MSHUKURU SANA MUNGU KWA HILO SABABU TANZANIA NAFASI HIZO HAZIPO NA TATIZO LIMEANZIA VIJIJINI AMBAKO HAMNA FURSA ZA UCHUMI KAMA ZILIZOPO KATIKA VIJIJI VYA ULAYA NA MAREKANI AMBAZO ZINAWAFANYA WAZUNGU WASIKIMBILIE WOTE MIJINI KUTAFUTA KIWEZESHA TUMBO ILI KUISHI.
    NINA MENGI SANA ILA NITAZIBA NAFASI YA WENGINE KUTOA MAONI.

    KWA MARA NYINGINE MSHUKURU SANA MUNGU WAKO KWA KUKUFIKISHA HUKO AMBAKO WABONGO WENGINE HAWANA UWEZO HUO SABABU VIJANA WOTE WA KIBONGO WANGEWEZA KUJA HUKO MAJU HATA HIZO KAZI TATU UNAZOZISEMA USINGEZIPATA.
    MWOMBE RADHI MUNGU WAKO KWA KUWAITA WABONGO WENZIO WAPUMBAVU KWA SABABU TU HAWAJAPATA FURSA KAMA ULIYOIPATA WEWE SO PLEASE TAKE TIME NA USOME SIASA, UCHUMI, MAZINGIRA NA VYOTE VINAVYOIHUSU NCHI YAKO ILI SIKU NYINGINE UACHE KUROPOKA KATIKA INTEREST ZA WATU WENGINE AMBAZO HAZIFANANI NA ZA KWAKO.

    MDAU

    ReplyDelete
  78. HUYU MBEBA MABOKSI ANAONGEA KITU CHA MSINGI. UNASHABIKIAJE WATU WANAOKUITA WEWE NYANI? INAINGIA AKILINI KWELI? MIMI NI MTANZANIA NIPO BONGO NA NYUMBANI TUNA DSTV LAKINI SIJAWAHI KUWAANGALIA. KIJANA WA KITANZANIA ANAJUA MISHAHARA YA WACHEZAJI WOTE WA ULAYA, INAKUSAIDIA NINI? HIZO AKILI ULIZOTUMIA KUKARIRI HIYO MISHAHARA SI UNGEZITUMIA KWENYE MAMBO MENGINE? NYIE HAMJUI TU LAKINI WAZUNGU WANAWACHEKA SANA. HUU NI UTUMWA WA KIMAWAZO. BADILIKENI.

    ReplyDelete
  79. bururdani ni burudani bila kujari utapata wapi ni haki ya mtu kuangaria aina yoyote ya mchezo popote pale duniani, hasa wakati huu wa utandawazi, ubaguzi wa rangi hiyo ni dhambi yao na wala hakuna mchezo unaochezwa kwa rangi ya mtu, ninaamini hata wao wanaangalia baadhi ya michezo yetu kutoka africa ndio maana huna waafrika wenzetu wanalipwa mbilioni ya dolali wako huko na wanasaidia hata nchini zao za afrika. mbona gari lako limetengezwa Uk umenunua? tunatakiwa kuwabadilisha fikra zao kuhusu ubaguzi kutoangalia sio suluhisho.
    umaskini ni matitizo ya kiutawala ya nchi husika na sera zake mbovu kutoangalia ligi za wenzetu hakutabadili hali.

    ReplyDelete
  80. Nyie wote mnaoipenda hii hoja kwa kukataa ati sio poa kushabikia timu ya Ulaya mkumbuke kwamba kitu cha kwanza kilichowasukuma watu kupenda hizi timu ni ubora wa uchezaji wa soka yenyewe, cha pili utakuta ni idadi ya wachezaji weusi kwenye timu hizo. Kama wewe unajijua kwamba ni muumini wa dini fulani jua hiyo dini haijatokea Afrika zaidi ni mashariki ya kati so usilaumu wapenda soka ya ulaya ati sababu wewe upo ulaya au america na unakutana na ubaguzi wa rang, ila jua ubaguzi wa rangi ni ishu nyingine tofauti

    ReplyDelete
  81. niitebabu@yahoo.comFebruary 28, 2012

    kweli jamaa kaongea uinakuta watu wanabisha mpaka wanachukiana au wanataka kutwangana kisa timu mambo mengine niya kweli tubadilike na ukweli tuukubali

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...