Jaji Augustino Shangwe akikaribishwa kukagua gwaride la heshima kabla ya kuanza kikao cha kesi za Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam mjini Morogoro
Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Mh. Augustino Shangwe , akikagua gwaride rasmi la Kikosi cha Jeshi la Polisi wa Kutuliza ghasi ( FFU) kabla ya kuanza kwa kikao cha kwanza cha mwaka 2011 , cha kesi zinazoendeshwa na Mahakama kuu. Gwaride hilo lililifanyika leo kwenye viwanja vya Mahakama ya Mkoa wa Morogoro kiliongozwa na Inspekta Jasephet Masota. Picha na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii mimi siielewi kabisa. Hvi kazi ya jaji ni hii pia!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...