Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wakimsikiliza Mwenyekiti wa Mkutano Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Bi Samia Suluhu Hassan wakati wa kujadili Utatuzi wa Changamoto za muungano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano Water Front jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wakimsikiliza Mwenyekiti wa Mkutano Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Bi Samia Suluhu Hassan wakati wa kujadili Utatuzi wa Changamoto za muungano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano Water Front jijini Dar es Salaam

Lini itakuwa zamu ya Serikali Ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kukutana na Tanganyika (aka Tanzania bara) baada ya kikao hiki na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar?
ReplyDeleteMie nashangaa kutomuona mshiriki wa pili katika mazungumzo hayo naye ni Tanganyika!!!!!
ReplyDeletehuu muungano ufe. hebu oneni vituko hivo. makamu wa raisi mzanzibari, halafu waziri mwenye porfolio ya muungano ktk ofisi ya makamu wa raisi tena ni mzanzibari. teuzi za jk hizo, halafu wananchi tukilalamika mnasema eti udini. MUUNGANO UFEEE!!
ReplyDeleteNaungana nanyi kudai Tanganyika na kutaka MUUNGANO UFE. Tunakuombeni ndugu zetu wa Tanganyika mtuunge mkono sisi(Wazanzibari)tuwe na sauti moja ili haya yafanikiwe.SOTE TUMECHOKA NA MUUNGANO WA KINAFIKI.
ReplyDeletejamani ndugu zetu wa tanganyika hebu andamaneni ndio watajua kuwa na nyie mnataka Tanganyika-hebu tuuwe huu muungano jamani tunasubiri nini-Unafiki mtupu-ulaya unaingiza bidhaa nchi zote 27 hulipi cent ya ushuru au ukilipa unaidai nchi yenu-hapo ukitoa kibegi tu kwenda bara mabegi yanapekuliwa-afadhali zanzibar unatoka huulizwi-TUMECHOKAA JAPO TUPO NJE YA NCHI
ReplyDelete