MAREHEMU MZEE THOMSON MAKWINJA MWASHAMBWA

We believe that Jesus died and rose again, and so we believe that God will bring with Jesus those who have fallen asleep in him."-1 Thessalonians 4

Baba, rafiki, ndugu yetu leo tarehe 04/03/2011 umetimiza Miaka 8 tangu mwenyezi Mungu akuite,tunajua tulikupenda sana lakini Mwenyezi Mungu alikupenda Zaidi.

Utakumbukwa daima na Mke wako,Filly M. Mwashambwa, watoto wako Joy,Cristopher,Willy,Alice,Samuel and Emma.

MAY U REST IN PEACE OUR LOVELY PAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...