Marehemu Mzee Francis R. Ndukeki Enzi za Uhai wake.

Ni masaa,miezi imepita tangu ulipotutoka mpaka leo umetimiza mwaka mmoja sasa.

Familia ya Marehemu Francis Rweyemamu Ndukeki inakukumbuka hususani mkeo, Ma Elizabeth, watoto wako Egbert, Fides,Frank,Kemi, Modesta na Evance.wajukuu zako Andrew, Tamika na Rowena.Kiroho upo nasi ingawa kimwili umetuacha.

Misa ya kumbukumbu itafanyika nyumbani,kijijini Kagondo Muhutwe-Muleba,mkoani kagera leo jioni.

Bwana ametoa na bwana ametwaa.Jina la bwana lihimidiwe.

-Amen

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...